Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,278
- 8,559
Sehemu gani ya waraka imekaa kiudini udini?Tatizo waraka umekaa ki~udini udini
Sehemu gani ya waraka imekaa kiudini udini?Tatizo waraka umekaa ki~udini udini
Sawa mwambie TEC hawarudi nyuma waraka huo utasoma wiki 6 bila kupoa tukutane kesho ArushaMimi ni Chawa ndiyo na ndiyo maisha yangu ni uchawa kwa chama changu na viongozi wote
Mfano Mzuri ni mh Mbunge wa Kawe Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Dr Gwajima PhDmwisho wa siku ukweli ni kwamba dini na siasa HAVITENGANI!
Wanasiasa ndio hao hao wanadini ama sivyo wakati wa uchaguzi wanasiasa wachaguliwe na wanasiasa wenzao na wanadini wabaki na imani zao!
Nchi ni yetu sote!
I seeNi baba wa wote! Utake usitake ndiye Baba yetu kisiasa
HakunaSehemu gani ya waraka imekaa kiudini udini?
Alafu anasema tusichanganye siasa na dini hahahaheeeeMfano Mzuri ni mh Mbunge wa Kawe Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Dr Gwajima PhD
Naam!
Sinema bado inaendelea kwa kasi huku vioja vikiendelea kujitokeza.leo kuna matukio mawili makubwa yaliyotokea.
Waraka wa baraza la maaskofu(Roman catholic)kupinga mkataba wa ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika.
Ambao umesomwa nchi nzima katika kila kanisa na vigango vyake kote nchini.
Jambo hili limewachanganya sana!
Na hivyo kupelekea kuibuka kwa tukio la pili....
.....Tukio la pili ni lile la kuibuka Rais mstaafu awamu ya nne kutokea huko Rorya-Mara.
Yeye anaujibu waraka huo kwa kuigeuza hoja na kuwa "Udini" akiamini yeye kwamba hatuelewi kinachoendelea.
Kiujumla hawa wakuu wanazidi kujiumbua wao wenyewe,wameona wajaribu kutumia platforms za kidini ili ku-push DP-WORLD.
Kesho tunasubiri tumsikie huyo Kinara wa nchi kwenye Jubilei nyingine ya kanisa lingine kutimiza miaka 60 huko Arusha.
Hii ni kwa sababu mkuu wa sterling anajua kabisa nguvu ya TEC.
TEC inao uwezo wa kuongea na Dunia na ikaeleweka.View attachment 2723168View attachment 2723169
Hata wimbo wa Taifa..."MUNGU" IBARIKI AFRIKA....💪🇹🇿👍Rais na wabunge karibu wote waliapa kwa kutumia vitabu vya dini. Bunge kila kikao lazima kianze kwa sala ya kidini.
Dp world watajenga misikiti piaTatizo waraka umekaa ki~udini udini
Nakazia hakuna comeback hio ndio imeshatokaAisee jamaa kaonaa mama Hawezi kupambanaa kaamua aje kusaidiaaaaSema wajue tu hakuna Comeback hapaa washalambwaaa
Mi nafikiri mstaafu Hana Tena influence kwa wananchi sasa, kwahiyo tamko lake lishalitupiwa uvunguni... Na sijui kama Kuna mtu ndani ya kijana anainfluence kwa wananchi wengi... The more wa naweka matamko.. Ndivyo watu wanaona ma kelele tu... 😁 😁Naam!
Sinema bado inaendelea kwa kasi huku vioja vikiendelea kujitokeza.leo kuna matukio mawili makubwa yaliyotokea.
Waraka wa baraza la maaskofu(Roman catholic)kupinga mkataba wa ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika.
Ambao umesomwa nchi nzima katika kila kanisa na vigango vyake kote nchini.
Jambo hili limewachanganya sana!
Na hivyo kupelekea kuibuka kwa tukio la pili....
.....Tukio la pili ni lile la kuibuka Rais mstaafu awamu ya nne kutokea huko Rorya-Mara.
Yeye anaujibu waraka huo kwa kuigeuza hoja na kuwa "Udini" akiamini yeye kwamba hatuelewi kinachoendelea.
Kiujumla hawa wakuu wanazidi kujiumbua wao wenyewe,wameona wajaribu kutumia platforms za kidini ili ku-push DP-WORLD.
Kesho tunasubiri tumsikie huyo Kinara wa nchi kwenye Jubilei nyingine ya kanisa lingine kutimiza miaka 60 huko Arusha.
Hii ni kwa sababu mkuu wa sterling anajua kabisa nguvu ya TEC.
TEC inao uwezo wa kuongea na Dunia na ikaeleweka.View attachment 2723168View attachment 2723169
Huo ndio wanasisa wengi wanatumua dini kuomba kura. Anawe bisha Ataje wabunge wangapi hawana dini, Pia Tangu Mwl. BABA wa taifa Mkatoliki, Muislamu ,Mkatoliki Muislamu ,Mkatoliki na sasa Muislamu. Lakini utasikia Tanzania haina dini sijui wanatonaje sisi.mwisho wa siku ukweli ni kwamba dini na siasa HAVITENGANI!
Wanasiasa ndio hao hao wanadini ama sivyo wakati wa uchaguzi wanasiasa wachaguliwe na wanasiasa wenzao na wanadini wabaki na imani zao!
Nchi ni yetu sote!
Haongozi nchi kwa misingi ya kidini.Raisi ana dini na anapiga kura na kupoigiwa kura.
Kwa miongozo ya kiroho au kisiasa? Siasa na injili ya kweli ya kiroho ni kama mafuta na maji havichanganyikani. Dini zina miongozo yake hata kiuongoziTEC wana dini na wanapiga kura. BAKWATA wana dini na wanapiga kura. SHURA ya Maimam wana dini na wanapiga kura..!!
Unatenganishaje siasa na dini wakati wahusika wapo pande zote? KILA ALIYEKO KWENYE SIASA YUPO KWENYE DINI...!!
NI THEORY TU KWAMBA DINI NA SIASA UNAWEZA KUVITENGANISHA, LAKINI UHALISIA HAUPO HIVYO..!!
Vinatengana sana.mwisho wa siku ukweli ni kwamba dini na siasa HAVITENGANI!
Wanasiasa ndio hao hao wanadini ama sivyo wakati wa uchaguzi wanasiasa wachaguliwe na wanasiasa wenzao na wanadini wabaki na imani zao!
Nchi ni yetu sote!
kazi anayo.Kazi ipo leo.
Yeye mwaka 2010 alimtumia Prof. Lipumba na misikiti kuendesha siasa.
Na Prof alikiri mwenyewe.
Leo kaenda kanisani, huko, ndiko kafanya siasa.
Alipotaka kushinda uchaguzi alitumia dini. Hii haikuwa shida.
Leo Dili lake linaonekana gumu, anasema viongozi wa dini wanyamaze.
Hili ni lake, shida niliwaambia tangu mwanzo, injinia halisi wa hili limkataba ni huyu.
Kuna style timu yake ya mkakati ilitumia, aonekane hayumo, tena wakaenda mbali zaidi kum set ili aonekane anapinga mkataba huu.
Sasa kamba imekazwa asipotarajia.
Ametoka nyuma kwenye kupiga kinanda, amekuja kuhutubia kabisa mbele.