Hatimaye Waraka umemtoa pangoni “mwenyewe”!

Hatimaye Waraka umemtoa pangoni “mwenyewe”!

Mnakosea jamani mbona mnakuwa na akili ndogo kiasi hicho. Alichomaanisha Dkt Kikwete ni kuwa madhabahuni siyo sehemu ya kuhubiria siasa na hili limejitokeza madhehebu yote siyo wakristo tu bali hata waislamu. Dkt Kikwete ni baba yetu tuwe na staha na heshima jamani. Atakeyebisha nitamlamba dislike 👎
Ni baba yako mwenyewe, usitujumuishe na sisi
 
Mnakosea jamani mbona mnakuwa na akili ndogo kiasi hicho. Alichomaanisha Dkt Kikwete ni kuwa madhabahuni siyo sehemu ya kuhubiria siasa na hili limejitokeza madhehebu yote siyo wakristo tu bali hata waislamu. Dkt Kikwete ni baba yetu tuwe na staha na heshima jamani. Atakeyebisha nitamlamba dislike 👎
Wewe ni Chawa?
 
Naam!

Sinema bado inaendelea kwa kasi huku vioja vikiendelea kujitokeza.leo kuna matukio mawili makubwa yaliyotokea.

Waraka wa baraza la maaskofu(Roman catholic)kupinga mkataba wa ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika.
Ambao umesomwa nchi nzima katika kila kanisa na vigango vyake kote nchini.
Jambo hili limewachanganya sana!
Na hivyo kupelekea kuibuka kwa tukio la pili....

.....Tukio la pili ni lile la kuibuka Rais mstaafu awamu ya nne kutokea huko Rorya-Mara.

Yeye anaujibu waraka huo kwa kuigeuza hoja na kuwa "Udini" akiamini yeye kwamba hatuelewi kinachoendelea.

Kiujumla hawa wakuu wanazidi kujiumbua wao wenyewe,wameona wajaribu kutumia platforms za kidini ili ku-push DP-WORLD.

Kesho tunasubiri tumsikie huyo Kinara wa nchi kwenye Jubilei nyingine ya kanisa lingine kutimiza miaka 60 huko Arusha.

Hii ni kwa sababu mkuu wa sterling anajua kabisa nguvu ya TEC.

TEC inao uwezo wa kuongea na Dunia na ikaeleweka.View attachment 2723168View attachment 2723169
Yule mzee ni mhuni inahitaji akili kumwelewa, hapo mtu anasogezewa kete ale hata 4 hivi alafu yeye aje kuizingusha Kete moja hadi kingi na mchezo kuishia hapo, huyu ni kijana mtiifu kweli kweli anajua kula kete vizuri huku anacheka
 
Naam!

Sinema bado inaendelea kwa kasi huku vioja vikiendelea kujitokeza.leo kuna matukio mawili makubwa yaliyotokea.

Waraka wa baraza la maaskofu(Roman catholic)kupinga mkataba wa ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika.
Ambao umesomwa nchi nzima katika kila kanisa na vigango vyake kote nchini.
Jambo hili limewachanganya sana!
Na hivyo kupelekea kuibuka kwa tukio la pili....

.....Tukio la pili ni lile la kuibuka Rais mstaafu awamu ya nne kutokea huko Rorya-Mara.

Yeye anaujibu waraka huo kwa kuigeuza hoja na kuwa "Udini" akiamini yeye kwamba hatuelewi kinachoendelea.

Kiujumla hawa wakuu wanazidi kujiumbua wao wenyewe,wameona wajaribu kutumia platforms za kidini ili ku-push DP-WORLD.

Kesho tunasubiri tumsikie huyo Kinara wa nchi kwenye Jubilei nyingine ya kanisa lingine kutimiza miaka 60 huko Arusha.

Hii ni kwa sababu mkuu wa sterling anajua kabisa nguvu ya TEC.

TEC inao uwezo wa kuongea na Dunia na ikaeleweka.View attachment 2723168View attachment 2723169
TEC washikilie hapo hapo hadi tujue ni nini kilichopo nyuma ya mkataba huu. Watatoka wote pangoni.
 
Kazi ipo leo.
Yeye mwaka 2010 alimtumia Prof. Lipumba na misikiti kuendesha siasa.

Na Prof alikiri mwenyewe.

Leo kaenda kanisani, huko, ndiko kafanya siasa.

Alipotaka kushinda uchaguzi alitumia dini. Hii haikuwa shida.

Leo Dili lake linaonekana gumu, anasema viongozi wa dini wanyamaze.

Hili ni lake, shida niliwaambia tangu mwanzo, injinia halisi wa hili limkataba ni huyu.

Kuna style timu yake ya mkakati ilitumia, aonekane hayumo, tena wakaenda mbali zaidi kum set ili aonekane anapinga mkataba huu.

Sasa kamba imekazwa asipotarajia.

Ametoka nyuma kwenye kupiga kinanda, amekuja kuhutubia kabisa mbele.
Nimeanza kuamini.
 
Dini na siasa vinatengana sana tu. Ufalme wa mbinguni ni wa mbinguni na wa duniani ni wa duniani. Maslahi binafsi ndo huunganisha dini na siasa.
Raisi ana dini na anapiga kura na kupoigiwa kura. TEC wana dini na wanapiga kura. BAKWATA wana dini na wanapiga kura. SHURA ya Maimam wana dini na wanapiga kura..!! Unatenganishaje siasa na dini wakati wahusika wapo pande zote? KILA ALIYEKO KWENYE SIASA YUPO KWENYE DINI...!!

NI THEORY TU KWAMBA DINI NA SIASA UNAWEZA KUVITENGANISHA, LAKINI UHALISIA HAUPO HIVYO..!!
 
Back
Top Bottom