Hatimaye Wabunge Wafanya Kweli: Mkapa & Karamagi Nje!

Yap,
Heshima mbele mkuu FMES hizi habari zinatia moyo baada ya machafu ya Mkapa, nadhani sasa hivi ni wakati wa usafi.
Nitaendelea kumshukuru Kikwete kwa kuacha maji haya yatafute mkondo wake kwani wananchi tumechoka!...
Pia nitapenda kuishukuru hiyo kamati ya Miundombinu kwa kazi safi ambayo sasa hivi inahitaji mtazamo mpya ktk makampuni yenye uwezo na hasa kampuni za nje zenye uzeofu wa kazi hii ya kutoa mizigo (Container) bandarini kwa sababu tuna ushindani mkubwa na Bandari ya Mombasa. Mkataba utakaofuata ni lazima utazamwe na Bunger ama niseme kamati hii kuhakikisha haturudii makosa ya Ufisadi.
Ni muhimu kufikiria mbinu ya kibiashara ambayo itaweza shindana na Bandari ya Mombasa badala ya kufikiria mashindano ya mawakala Bandarini.
 
Ni muhimu kufikiria mbinu ya kibiashara ambayo itaweza shindana na Bandari ya Mombasa badala ya kufikiria mashindano ya mawakala Bandarini.

Mkuu Bob,

Heshima mbele, according to mbunge mmoja niliyeongea naye ni kwamba sasa bandari zote za kuanzia Dar, Tanga, na Mtwara zitafanyiwa ukarabati mzito sana, ili kupunguza taifa kutegemea bandari moja tu ya Dar,

anyways sasa hivi nimekuwa kwenye mawasiliano nao wabunge ili kupata some more info za yaliyojiri, baadaye nitamwaga some more dataz!
 
Duh Kama Kweli Vile Kama Seneme Ya Kihindi

Mkuu heshima yako,


sasa si utoe hoja maanake misemo yako huwa inachukua nafasi tu.Plz leta hoja maanake angalo ungefafanua meseji ingefika


Hata hivyo parliament imeonyesha dira nzuri
 
hire comes a dreamer!!!!!!!!!!!!hakuna mkataba utakaovunjwa na wala uliovunjwa na buge wala kamati ya bunge ya miundo mbinu..mtabaki kutoa macho tu.mambo si rahisi kama mnavyozani.
 
According to more dataz kutoka bungeni ni kwamba kwenye huo mkataba uliovunjwa, Karamagi alikuwa akikusanya Shillingi Billioni 87 kwa mwaka, as opposed to Shillingi Billioni Tano tu, alizokuwa akitulipa taifa kama kodi ya hizo Shillingi Billioni 87!

...more dataz to come.....!
 
Mimi naafikiri huyu Ben ni vema akajitokeza maana hizo tuhma zimekuwa nyingi saana na yeye amekaa kimya amejigeuza bubu kwa maana hiyo yanayozungumzwa yootr yanaonekana ni kweli maana hata mahakamani kuna kitu kinachoitwa expety jugdement siyo mwana sheria lakini wanasheria watakubaliana na mimi
 
Mimi naafikiri huyu Ben ni vema akajitokeza maana hizo tuhma zimekuwa nyingi saana na yeye amekaa kimya amejigeuza bubu kwa maana hiyo yanayozungumzwa yootr yanaonekana ni kweli maana hata mahakamani kuna kitu kinachoitwa expety jugdement siyo mwana sheria lakini wanasheria watakubaliana na mimi


Duh,Mkuu nilijiuliza nimefanya nini tena?

Hata hivyo sasa sijui mkapa anadhani watu wataka kimya? Hilo halitatokea hata kidogo,so ni bora ajitokeze aseme tu ili kama ni mbaya na iwe mbaya.
 
Mkuu Mwiba

""""ni Bora Kumbebena Mke Wa Mtu Kuliko Kulibebena Taifa Zima""
Mh
Kulikuwepo Na Mwanamke Kahaba Akakamatwa Na Kupelekwa Kwa Bwana Yesu Alipofika Pale Yesu Akaambiwa Huyu Kahaba Nasi Twaibiwa Waume Zetu ....wakataka Kumpiga Mawe Wamuue ...ndipo Alipowaambia Hakuna Alie Msafi Kama Kuna Mwenye Uhakika Yuko Safi Achukue Jiwe Aanze Kumpiga Wote Walirudi Na Kuondoka Kama """mwiba"""

*******ushindi Lazima********
Mkuu Mwiba, hii ya KUMBEBENA mke wa mtu ni kali.
Nataka tu kukumbusha kuwa siyo wote waliondoka. Kwani hapa haa Yesu Mwenyewe aliishiwa nguvu baada ya kusikia na kuona Kahaba huyo akilimwa jiwe la kichwani. Ila Yesu hakupata sana shida kujua ni nani huyo karusha jiwe na akasema " Wee mama weee, tulikubaliana usiwe unaniingilia kwenye mambo yangu (Bikira Maria)."
 
Mkuu heshima yako,


sasa si utoe hoja maanake misemo yako huwa inachukua nafasi tu.Plz leta hoja maanake angalo ungefafanua meseji ingefika


Hata hivyo parliament imeonyesha dira nzuri
Hivi Ben ndio ulipotea kimasikhara hivi hivi? Mpaka leo hta siamini..... hvi Mungu huwa haoni haya ama inakuaje? Tena watu wanasimama madhabahuni kabisa hku wamejaa damu!!

Inauma sana
 
Bravo.... na sasahivi hoja iliopo ni yanyumba za serikali zilizouzwa...sorry walizojigawia... mwakahuu moto utawaunguza kila kona
Tunakwenda kidogo kidogo,hatua kwa hatua lkn hili tutaliruka kwanza kwa manufaa ya wananchi au vp
 
Habari zinazomiminika sasa hivi zinasema kuwa hoja ya kuupitia mkataba wa TICTS imepita na sasa utaangaliwa. Bado details zinamiminika, hoja hiyo imepita dakika chache zilizopita. Nzi azungukaye katika bunge hilo anasema Karamagi (nasikia ni mmiliki au ana ubia wa TICTS) alijiuma uma...
Aisee!
 
Back
Top Bottom