Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #221
.....which means nafsi yake inamsutaUkimuona mtu ana panic sana ujue hana hoja na ana stress..sijaiona reason ya kupanic
.....which means nafsi yake inamsutaUkimuona mtu ana panic sana ujue hana hoja na ana stress..sijaiona reason ya kupanic
Kweli njaa mbaya sana mpaka mawazo YANAUZWAHatimaye Vodacom Tanzania wametekeleza "constructive idea" yangu niliyoandika humu JF. They were, at least, supposed to acknowledge my intellectual endeavor.
ORIGINAL THREAD HII HAPA NILIIANDIKA OCTOBER 21 MWAKA 2018.
View attachment 1233886
Screenshot hapo juu ni user interface ya Vodacom M-pesa.
Shikamooni wakubwa zangu wote. Uandishi wangu unaweza ukakosa mpangilio. Naombeni mniwie radhi.
Kwa kipindi cha mwezi uliopita nilikopa pesa kiasi cha 50,000/= kutoka kwa classmate wangu Beautiful Nkosazana ambaye nilimuahidi kuwa ningemlipa mwezi huu tarehe 21.
Sasa leo nilikuwa ninatuma kiasi hicho cha pesa kwa classmate kwa kutumia mtandao wa Vodacom nikakutana na changamoto moja ambayo naona engineers wa kampuni hizi za simu wanaweza kuboresha if they are willing.
Unapomtumia mtu pesa basi kuwe na options mbili.
(1) Tuma pesa (kama ilivyo)
(2) Tuma Pesa (na pesa ya kutolea)
Option number moja ndio iliyopo sasa. Ila hii option ya pili kwa sasa haipo. Hii ni kwamba kwa kuwa mimi ninatuma 50,000 kwa classmate wangu na ninataka kumtumia na pesa ya kutolea, sipaswi kuanza kuwaza hivi pesa ya kutolea 50,000 ni kiasi gani? Ama nikimtumia mtu 175,000 pesa ya kutolea ni kiasi kipi?
SYSTEM INAPASWA KUFANYA CALCULATIONS AUTOMATICALLY kisha kutuma pesa yote pamoja na pesa ya kutolea.
Hii ni idea yangu tu. Nipo tayari kukosolewa. I stand to be corrected.
Pia unaweza kuisoma hapa
Pesa ya kutolea (Mobile Money Account) inapaswa kuwa calculated automatically na system. Telecom Engineers ongezeni ubunifu.
Screenshot hapo juu ni user interface ya Vodacom M-pesa. Shikamooni wakubwa zangu wote. Uandishi wangu unaweza ukakosa mpangilio. Naombeni mniwie radhi. Kwa kipindi cha mwezi uliopita nilikopa pesa kiasi cha 50,000/= kutoka kwa classmate wangu Beautiful Nkosazana ambaye nilimuahidi kuwa...www.jamiiforums.com
WALICHOKIFANYA VODACOM.
Kwenye User interface Menu hapo chini nenda mpaka number 6
View attachment 1233902
WALICHOKIFANYA AIRTEL
View attachment 1235372
Vodacom waweke concrete evidence hapa kuthibitisha kuwa hii sio idea yangu.
Nilifikiri baada ya kukaa muda mwingi hapa JF umeacha Ujinga........!!!!!I'm going to sue you. Subiri uone. Sipendi upuuzi mimi
Asante sana boss wanguNilifikiri baada ya kukaa muda mwingi hapa JF umeacha Ujinga........!!!!!
Ugumu wa maisha mitaani unakufanya utafute pesa kwa nguvu. Huu nao ni utapeli.I'm going to sue you. Subiri uone. Sipendi upuuzi mimi
Asante sana boss wanguUgumu wa maisha mitaani unakufanya utafute pesa kwa nguvu. Huu nao ni utapeli.
Thanks broMdogo wangu, go sue them and I'll support you financially
Ina maana wewe haujifanyii self-assessment ili kuweza kujifahamu zaidi?
Wamtafute yeye kama nani?hongera mkuu hope watakutafuta
Acha ku support upuuziMdogo wangu, go sue them and I'll support you financially
Kwani Vodacom wanamfahamu?Upo vizuri,itabd wakulipe japo % fulani.
Thanks for writingIdeas are worth nothing. Only execution. Na sio kitu unique unaweza kuta walikua washafikiria muda mrefu tu wanafikiria wataimplement vipi, ni vitu vinachukua muda sio unafikiria leo tu kesho unatengeneza.
Upuuzi unauona wewe ila jamaa yupo rightAcha ku support upuuzi