Wazo langu mbadala: Kama ada zinalipwa vyuoni, kwanini ada zisilipwe pia kwa kampuni na taasisi binafsi ili wahitimu wapate mafunzo ya kazi?

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Leo swali langu linauluza hivi;

Kama ada zinalipwa vyuoni, kwanini ada zisilipwe pia kwa kampuni na taasisi binafsi ili graduates wapate mafunzo na uzoefu wa kazi?

Yaani unakuta mimi Infantry Soldier nimemaliza kusoma taaluma ya Information and Communications Technology pale IFM mwaka 2018.

Badala ya kukaa tu kijiweni nikiwa sina experience ya kazi, kwanini nilisipe ada ya kila mwezi (kiasi fulani cha pesa) kwenye kampuni let's say Vodacom ama Tigo kisha HR manager akanikabidhi kwa Head of Department ya ICT nikawa ninajifunza kazi pamoja na kupata experience plus connections za kujuana na watu?

Kama ada za mafunzo ya theories zinalipwa vyuoni, kwanini ada za mafunzo ya practice zisilipwe kwenye taasisi na kampuni binafsi?

I STAND TO BE CORRECT. NINAPOKEA POSITIVE CHALLENGES AS WELL.

OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

VODACOM WAME COPY "CONSTRUCTIVE IDEA" YANGU. NILIPENI JAMANI.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Leo swali langu linauluza hivi;

Kama ada zinalipwa vyuoni, kwanini ada zisilipwe pia kwa kampuni na taasisi binafsi ili graduates wapate mafunzo na uzoefu wa kazi?

Yaani unakuta mimi Infantry Soldier nimemaliza kusoma taaluma ya Information and Communications Technology pale IFM mwaka 2018.

Badala ya kukaa tu kijiweni nikiwa sina experience ya kazi, kwanini nilisipe ada ya kila mwezi (kiasi fulani cha pesa) kwenye kampuni let's say Vodacom ama Tigo kisha HR manager akanikabidhi kwa Head of Department ya ICT nikawa ninajifunza kazi pamoja na kupata experience plus connections za kujuana na watu?

Kama ada za mafunzo ya theories zinalipwa vyuoni, kwanini ada za mafunzo ya practice zisilipwe kwenye taasisi na kampuni binafsi?

I STAND TO BE CORRECT. NINAPOKEA POSITIVE CHALLENGES AS WELL.

OUR MOTTO: KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

NSSF MOYO WANGU BADO UMEJAA MAJONZI NA SIMANZI KUBWA SANA

Una akili sana. Unfortunately hautaeleweka na wengi.
 
Watu watakuwa Exploited. Kila mwaka kuna graduates wengi. Sasa kampuni badala kuajiri mtu wa uhakika na permanent, watatumia fursa ya "kukufunza kazini" kuendesha shuhuli zao huku wewe ukiwa unawalipa, ata kama umekomaa kwa vile kuna graduates mwengine ambae na yeye yupo tayari kulipa, wewe utapewa cheti uondoke mwenzako na yeye anaekwa kufunzwa.
 
Sasa kampuni badala kuajiri mtu wa uhakika na permanent, watatumia fursa ya "kukufunza kazini" kuendesha shuhuli zao
Kampuni makini haiwezi kumtumia inexperienced graduate katika kufanya kazi zake kwa maana wanajua ukiharibu kazi zao wanapokonywa tenda
 
Kampuni makini haiwezi kumtumia inexperienced graduate katika kufanya kazi zake kwa maana wanajua ukiharibu kazi zao wanapokonywa tenda
Kampuni makini kama ipi? tukichukulia hii mitandao ya simu, yote haina umakini wowote kwenye uendeshaji wa shuhuli, kampuni zimejaa wizi na huduma mbovu, do you really think they care? Wao wanatizama how much we saving na kama shughuli zinaendelea tu. Labda nafasi za juu ndio atafutwa expert, ila kwa kazi za kawaida tu. Utaona kampuni zimejaa trainees.

Tutakaa na kusema kuwa zamani watu walikuwa na degree wanaishia mitaani kisa hawana experience, saiv watu wana vyote na bado wapo kitaa.

Wazo lako ni zuri na hasa hasa kama kukiwa na fairness tu lakini ningeshauri isiwe mtu unalipa kupata experience.
Instead, mtu baada ya kumaliza masomo aombe kuwa trainee na wala asi demand allowance. Ajitolee kufanya hio kazi bure kwa lengo la kupata experience. I believe companies wapo tayari na hili (labda iwe shady business). Ukifanya ivi, wewe utagain knowledge na experience bila kuilipia.
 
Basi itabidi serikali itoe mkopo mwingine kwaajili ya hiyo service
Inawezekana pia
Kampuni kweli ni nyingi, tusingelikuwa na wenye degree mitaani wakiishia kukaa maskani.
Graduates wamejaa mtaani kwa sababu kampuni hazitoi ajira. Ila kampuni zikiwa zinatoa fursa ya mafunzo kwa vitendo kisha graduates wanalipa ada, idadi ya waliopo mtaani watapungua sana.
 
Back
Top Bottom