jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,247
- 1,633
Ivi na mawazo yanasajiliwaga
Ulisajili wazo lako hilo?
Ulisajili wazo lako hilo?
Yes mawazo yanasajiliwa pia mkuuIvi na mawazo yanasajiliwaga
Kama kauli yako ni sahihi weka ushahidi hadharaniItakuwa una marafiki au unafanyakazi kwenye Makampuni ya simu kwa hiyo hiyo idea uliwahi kuisikia kutoka kwao na wewe ndio ukawa- time ukaileta huku
Mpaka sasa wamenitafuta ila hawajanipa response ya maana.hongera mkuu hope watakutafuta
Ndio nipo ninafanya negotiations na hao Vodacom TanzaniaWakulipe aisee
Kama hiyo dua ni njema, inshallah nitashukuru sana chiefchifu Tutakupa sekunde 10 na kukuombea dua
Povu huwa ni dalili ya kutokujiaminiPovu
Thanks brotherUnajitahidi
Absolutely right brotherHakika hata mimi huwaambia watu kuwa idea hii ilitokana na wewe mdau. Voda ikutoe hata 30m,kwa kuwa sehemu ya renovation
Huwezi wadai sababu hiyo ilikuwa Ni idea yao ya siku nyingi na minute za kikao wanazo toka mwaka juzi ila wewe ulisikia kwa mtu wa Vodacom kwenye baa uka post humu Kama idea Yako wakati ni.kitu kilikuwa ofisini kinafanyiwa Kazi
Namba mbili Ni wajibu wa kampuni yeyoye kushughulikia malalamiko ya wateja kwa hiyo unataka kuwashtaki kwa kushughulikia malalamiko Yako au? Mfano duka linachelewa Kufunguliwa ukalalamika kwa hiyo wakiwahi kufungua kutatua kero Yako unatakiwa kuwashtaki kuwa wamechukua idea Yako?
Tatu hiyo idea Yako ilikuwa na copy right ?uliisajili?
Innovation yeyote inasajiliwa Chama Cha hati miliki Tanzania Yaani Cosota au Kama ni trade mark au patent yake inasajiliwa kwa wasajili wa trade mark na patent kote huko haipo.jamaa mbona wewe sikuelewi ? umejuaje kama kakopy ? aisee watu kama ninyi hamfai kabisa, yan unaona mwenzako hawez kuwa innovative ? we unafanya kazi voda ? uliziona hizo minutes ? ulikuwepo kwene kikao ? daaah noma sana
Mkuu, tabia za watu kama huyo jamaa zinaitwa ni SUPERIORITY COMPLEX yaani wanajiona kwamba wao ndio wanajua kila kitu. Ni tabia moja ya kijinga sana.jamaa mbona wewe sikuelewi ? umejuaje kama kakopy ? aisee watu kama ninyi hamfai kabisa, yan unaona mwenzako hawez kuwa innovative ? we unafanya kazi voda ? uliziona hizo minutes ? ulikuwepo kwene kikao ? daaah noma sana
Innovation yeyote inasajiliwa Chama Cha hati miliki Tanzania Yaani Cosota au Kama ni trade mark au patent yake inasajiliwa kwa wasajili wa trade mark na patent kote huko haipo.
Mkuu, tabia za watu kama huyo jamaa zinaitwa ni SUPERIORITY COMPLEX yaani wanajiona kwamba wao ndio wanajua kila kitu. Ni tabia moja ya kijinga sana.
To hell with him Kama Hana legal rightsawa lakin hiyo haibadilish kuwa labda yeye ndio kawapa wakeup call ? me hayo mambo ya patent nayajua mkuu
Mkuu, usizozane naye tena. Achana naye huyo jamaa. Kuna mtu anafanya jambo fulani. I'll let JF members know about it as soon as it gets donesawa lakin hiyo haibadilish kuwa labda yeye ndio kawapa wakeup call ? me hayo mambo ya patent nayajua mkuu
Mkuu, usizozane naye tena. Achana naye huyo jamaa. Kuna mtu anafanya jambo fulani. I'll let JF members know about it as soon as it gets done
Poanimekausha mkuu