Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 812
Wamtafute? Akina nani hao? Labda sio Voda hawa ninaowajua mimi.hongera mkuu hope watakutafuta
Wamtafute? Akina nani hao? Labda sio Voda hawa ninaowajua mimi.hongera mkuu hope watakutafuta
Hata kama hakusajili wazo lake, kama mlimuibia huyu dogo sio uungwana huo nyie jamaaUlisajili wazo lako hilo?
Sababu za dogo Ni za kubumbaHata kama hakusajili wazo lake, kama mlimuibia huyu dogo sio uungwana huo nyie jamaa
Makampuni mengi sana hapa Tanzania yamejikita katika falsafa za dhuluma na kamwe hawataweza kumlipa huyu kijanaUpo vizuri,itabd wakulipe japo % fulani.
Swali la kitoto sana hili mkuu. Legality Vs Morality.Kama hukusajili linakuaje wazo lako?
Hii bila shaka ni customer caring number...!!!piga namba 100.
Upuuzi mtupu huuHuwezi wadai sababu hiyo ilikuwa Ni idea yao ya siku nyingi na minute za kikao wanazo toka mwaka juzi ila wewe ulisikia kwa mtu wa Vodacom kwenye baa uka post humu Kama idea Yako wakati ni.kitu kilikuwa ofisini kinafanyiwa Kazi
Umeandika kwa jazba sana badala ya logicsNamba mbili Ni wajibu wa kampuni yeyoye kushughulikia malalamiko ya wateja kwa hiyo unataka kuwashtaki kwa kushughulikia malalamiko Yako au? Mfano duka linachelewa Kufunguliwa ukalalamika kwa hiyo wakiwahi kufungua kutatua kero Yako unatakiwa kuwashtaki kuwa wamechukua idea Yako?
MhhTatu hiyo idea Yako ilikuwa na copy right ?uliisajili?
Povu kama lote mzee babaPovu
Sawa kabisa mkuuSidhani kama wata acknowledge your efforts, not in this country, maybe ingekua nje ya nchi,
I feel sorry for this guy aiseenamfahamu jamaa mmoja mbobezi wa IT, aliisadia benki Fulani kwenye app yao, tena kazi kubwa kweli, yani yeye ndio alitengeneza hio app ya benki; but he was never acknowledged for what he did, aliishia mwisho wa siku kutengenezewa zengwe akafukuzwa kazini.
Huu ni ushauri wa kiungwana sana kwa huyu kijana mdogo SoldierBora kama kitu unacho tafuta wanasheria nenda nao hadi kampuni husika muweke makubaliano, usajili wazo lako kisheria, kwamba wakiikopi hio idea kuna % Fulani utapata kutokana na mauzo ambayo yatakua yanafanyika
MhhHata RRONDO aliwahi kuandika japo si kwa mtindo walioweka
DahDah! kama vipi waambie wakupoze hata vibilioni viwili tu! Ukipata hivyo, unanunua ndinga kali! Full viyoyozi! Mjengo wa maana huko Mbweni! Unamtafuta mtoto mkali kutoka bongo muvi, wa kuuzia naye sura mjini! Mabiznesi ya hapa na pale!
Maisha yenyewe ndiyo haya haya. Ni kula raha tu.
Unafanya kazi Vodacom?Huwezi wadai sababu hiyo ilikuwa Ni idea yao ya siku nyingi na minute za kikao wanazo toka mwaka juzi ila wewe ulisikia kwa mtu wa Vodacom kwenye baa uka post humu Kama idea Yako wakati ni.kitu kilikuwa ofisini kinafanyiwa Kazi
Namba mbili Ni wajibu wa kampuni yeyoye kushughulikia malalamiko ya wateja kwa hiyo unataka kuwashtaki kwa kushughulikia malalamiko Yako au? Mfano duka linachelewa Kufunguliwa ukalalamika kwa hiyo wakiwahi kufungua kutatua kero Yako unatakiwa kuwashtaki kuwa wamechukua idea Yako?
Tatu hiyo idea Yako ilikuwa na copy right ?uliisajili?
Asante sana. Hakika nitawatafuta.Big up sema nini wafate wanaeza kukutoa ata ya chai
Daaah noma sana mkuu.
Mpotezee tu huyo mkuuUnafanya kazi Vodacom?