Huo huo mzigo aliokuwa anaombaMzigo upi kwa mfano?
Caring without money? Usitudanganye...Habari Za humu ndani wakuu?
Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.
Uwe na amani muda wote inatoka wapi mkuu?Kudate na mwanamke mzuri sana was sura na umbo ni kujitakia maradhi ya moyo na pressure. Toto limejaa vizuri, sura nzuri, rangi yenyewe, mguu na nyonga, huko nyuma limekaa ndivyo halafu uwe na amani mda wote kweli!!!
Utapata sonona kisa mtoto wa mwanaume mwenzako.
Rudi kwa big bwana acha hizo, kila binadamu ana mapungufu rudi mkavumiliane,Habari Za humu ndani wakuu?
Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.


Hahahaha.....Dada msamehe
Atatua na ndege kwenye maji![]()
Mtoa mada umeielewa hii comment?Pole ila ukweli mchungu unaenda kupoteza mwanaume anayekupenda kwa sababu ya kuendekeza usister duu, kwani huwezi kuishi bila picha na hao masharobaro? Huwezi kuacha nyendo za mashaka kama kuchat na wanaume? So you are going to be a single mama.
Kakausha na kujifanya hajaiona
Mkuu unaishi ardhini ama angani?Daaaaaaaaaaaaaaaah kuna wanaume wanachezea chance ......................imagine nina pesa ndefu sana (mwaka huu ntawekwa kwenye list ya 21 ya forbes as kijana tajir chin ya miaka 30) ................lakn cjawahi kubaliwa na demu af kuna msenge anachezea chance adimu hizo
Huyu dem ni wale slayqueen matapel tapeli wa vyuoni! Ana kibwana chake ki HB alikipelekea Mbunye halafu anajifanya anamzimia BiGGie 😅Wewe una wanaume wengi, jamaa yuko sahihi!! Meseji za nyuma na wanaume wako ukiwa chuo kwann huzifuti mpaka bwanaajo anazikuta? 😂😂
Ulipokataa kutoka na jamaa kisa Research proposal na assignments za nini wakati ulishasema wewe ulishamaliza chuo zamani??
Sio tu kutongoza...”Ukiwa na backup ya noti nyekundu aka manara”Nyie ndio wale madomo zege....
hakuna kitu rahisi kama kutongoza mwanamke
Tatizo huu wivu huwa unaishiaga kuumiza wanawake mkuu😅!!!Mtu mwenye wivu sanaa ndio anakupenda kafa kaoza na nikuibie siri huyo ana demu mwingine yoyote zaidi yako ndio anakuwa ivyo, angekuwa na demu mwingine au mademu wengine asingekuwa na wivu kiasi hicho me nishakuwa sana na tabia hizo hila zimeisha kitambo baada ya kupata michepuko. Ushauri wangu komaa na huyo jamaa usimuache anakupenda kweli utanishukuru baadae.
Wanawake slayqueen wana wakati mgumu sana endapo wanakutana na situations za aina mbili hizi!Hahaha sawa kabisa mkuu,bibie anajaribu kutuaminisha haombi pesa lakini hata ukijaribu ku read between lines unaona hio kazi ya mwamba (urubani) ni moja ya vitu binti kavutiwa navyo akijua atakua akivuna chochote ndo maana hadi sasa kwa kiasi yuko njia panda.