They gotta a real democracy.....Wanawake slayqueen wana wakati mgumu sana endapo wanakutana na situations za aina mbili hizi!
1.Handsome kapuku mwenye romantic na show za kufa mtu.
2.Jibaba sura ya kazi lenye mawe ila show hafifu😅. Non- romantic version hivi!
Huyu dem ni wale slayqueen matapel tapeli wa vyuoni! Ana kibwana chake ki HB alikipelekea Mbunye halafu anajifanya anamzimia BiGGie![]()









Mwanamke mpka uingie ndoani utavurugwa sanaaa usipotumia akili. Ukifika kwenye ndoa papuchi imechokaaa mno






for sureYan hapo wanakua njia panda hawajui wachague kipi..Tuzidishe maombi tu juu yao.Wanawake slayqueen wana wakati mgumu sana endapo wanakutana na situations za aina mbili hizi!
1.Handsome kapuku mwenye romantic na show za kufa mtu.
2.Jibaba sura ya kazi lenye mawe ila show hafifu😅. Non- romantic version hivi!
Hahahahahah wanaumia sana akiliYan hapo wanakua njia panda hawajui wachague kipi..Tuzidishe maombi tu juu yao.
Ankol akuje Ruangwa umpe tulizo la nafsi aje nandagala kwa PM kabisa,au Mbekenyera na Namungo umpatie madini ya Bunu,Green Garnet na Dhahabu...Eeeh Miss Cherry pole mrembo. Nakuomba huku Ruangwa kwa (PM), unifanye tulizo lako. Najua unasumbuka na maumivu ya moyo wakati huu, Ila kwa namna nilivyoguswa na stori yako, naomba ukaribie kwangu nikupumzishe na maumivu hayo.
Kama shetani ndo ananielekeza kwako basi, naomba mwenyezi aniepushe mbali. Lakini kama ni hisia zangu za dhati kwako, basi akupe tafakuri ya haja ukaribie Ruangwa, tuanze kuchora mstari wa furaha na amani ya moyo.
Tarajia kheri mama kutoka usukumani.
NB: U-handsome bahati mbaya waligawiwa wengine Mimi nikasaulika.
Ndo umekuja kunianika huku JF?????Habari Za humu ndani wakuu?
Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.
Niende moja kwa moja kwenye mada nisiwachoshe sana, naandika nikiwa nimenyong’onyea sana ila najikaza tu kwa sababu maisha lazima yaendelee
17.11.2021
Uhusiano wa kukaguana simu wa kibwege sana.
Uko poa saa hii?We tura nataka kukukagua leo.
Game 3 tu.