Jitahidi upate financial freedom uwe huru usiteseke mjini.
Keep ya head up girl utavurugwa na wengi
Pole ila ukweli mchungu unaenda kupoteza mwanaume anayekupenda kwa sababu ya kuendekeza usister duu, kwani huwezi kuishi bila picha na hao masharobaro? Huwezi kuacha nyendo za mashaka kama kuchat na wanaume? So you are going to be a single mama.
kibonge kachunwa then kamwagwa, madada wa town hao si mchezo
Wote kazi zao ni zile zile kusafirisha abiria jiamini!Nimeishia hapo penye rubani, pamenitosha kuelewa unayopitia
Pole bana, njoo street madereva wa uber pia tuna mapenzi ya kweli mkituvumilia lakini
Wewe una wanaume wengi, jamaa yuko sahihi!! Meseji za nyuma na wanaume wako ukiwa chuo kwann huzifuti mpaka bwanaajo anazikuta?![]()
Ulipokataa kutoka na jamaa kisa Research proposal na assignments za nini wakati ulishasema wewe ulishamaliza chuo zamani??
Nyie ndio wale madomo zege....daaaaaaaaaaaaaaaah kuna wanaume wanachezea chance ......................imagine nina pesa ndefu sana (mwaka huu ntawekwa kwenye list ya 21 ya forbes as kijana tajir chin ya miaka 30) ................lakn cjawahi kubaliwa na demu af kuna msenge anachezea chance adimu hizo
Itaanza hivi, unachana na huyo atakupa mwingine, atakuvumilia kasoro zako mpaka utamzalia ila kwa kuwa hutabadili tabia basi atakuacha pia, kumbuka hamna single mama aliyependa kuwa hivyo ila ni matokeo mojawapo ni hiyo tabia uliyonayo.Milishaacha kila Mkuu. Alafu kwa nn niwe single mother wakati sina mtoto wala ujauzito wake?
Sijajua umri wako ila wewe ni mvulana bado kiakili.Kuwa single kuna tatizo gani? Uchumba sugu na kuwa single bora nini?
Uko na jitu limekuganda tu watu serious wanakupotezea wanajuwa mzigo una booking huu kumbe unawapotezea muda watoto wa watu halafu baadaye unaowa mwingine, hii siyo sawa.
Ni bora kuwa single zikimbana anamtunuku mtu utamu maisha yanasonga tu.
Ndyo umeamua kunileta Hadi jf bas jibu sms zangu jaman my loveHabari Za humu ndani wakuu? Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.






Kuna namna nyingi ya kuomba hela ambapo si lazima utaje neno hela kwenye maelezo yakoHuwezi amini pamoja na yote but he is so lovely na sijawahi kumuomba hata mia