Uko poa saa hii?
Saa 7 mchana - mpaka 8.
Uko poa saa hii?
Haina noma kinega kama wewe hausumbuiSaa 7 mchana - mpaka 8.
Haina noma kinega kama wewe hausumbui
Jaribu kupambania hata suluhu achana na perepecheLeo nakupiga cha nguruwe tu.
Jaribu kupambania hata suluhu achana na perepeche
Nimewahi pia kua na mahusiano na binti asiyejiamini yani kila mda usipomcheki anahisi uko na mtu.
Ukipigiwa simu wakati upo nae na usipopokea ua text imeingia na hujaijibu wala kumuonesha ujue hiyo ni keshi baadae lazma akumaindi kinoma.
Lawama haziishi, marumbano kama yote, ni kazi sana kua na mtu wa hivyo aiseee.
Pole sana ila huyo wako alizidi viwango, mwisho wa siku angeweza hata kufanyia kitu kibaya sasa. Na mwanaume kumuandikia manzi gazeti la lawama haipendezi aisee.
Kama ni Rubani kweli chondechonde rudisha moyo nyuma,atutachelewa kusikia kuwa ndege imepoteza huelekeo kumbe Rubani mapenzi yanamchanganya.





Eeeh Miss Cherry pole mrembo. Nakuomba huku Ruangwa kwa (PM), unifanye tulizo lako. Najua unasumbuka na maumivu ya moyo wakati huu, Ila kwa namna nilivyoguswa na stori yako, naomba ukaribie kwangu nikupumzishe na maumivu hayo.
Kama shetani ndo ananielekeza kwako basi, naomba mwenyezi aniepushe mbali. Lakini kama ni hisia zangu za dhati kwako, basi akupe tafakuri ya haja ukaribie Ruangwa, tuanze kuchora mstari wa furaha na amani ya moyo.
Tarajia kheri mama kutoka usukumani.
NB: U-handsome bahati mbaya waligawiwa wengine Mimi nikasaulika.



Huyu dem ni wale slayqueen matapel tapeli wa vyuoni! Ana kibwana chake ki HB alikipelekea Mbunye halafu anajifanya anamzimia BiGGie![]()
Pole Dear, Though Nimependa mtiririko wa uandishi wako.
Kifupi Unaonekana upo vizuri kiakili na Hata kimwili.
Ushauri wangu Naomba uendelee kumkazia uyo jamaa Hadi achoke na akusahau kabisa.
Nimekupenda bure.

Asante Mkuu.Two options.
1. Mpe last chance and wekeaneni terms. Mueleze vile unafeel. Akibreach hizo terms move mazima.
2. Piga block mahali, kuendelea kuona message zake na calls zake soon utamrudia na haya yataendelea.
Sio kuchoka tu bali pia imechakaa haitazamiki.Mwanamke mpka uingie ndoani utavurugwa sanaaa usipotumia akili. Ukifika kwenye ndoa papuchi imechokaaa mno
Maimivu au ujinga ujinga tuPole kwa maumivu unayokutana nayo.
😂😂😂😂😂😂Hehehehehe acha nicheke tu...
Umenikumbusha ex bf wangu wa kwanza, alikuwa na tabia za kindenzi kama hizo! Ila hili la kwangu lilikuwa linapenda kitonga mteremko na halijui nini maana ya mwanamke asee, halijui kucare,lenyewe linajua kuomba uch..tu...nikaliambia kafie mbele mwanaume kama mwanamke asee full kujiliza![]()