Hatimaye uhusiano wangu umefikia mwisho...

Hatimaye uhusiano wangu umefikia mwisho...

Pole ila ukweli mchungu unaenda kupoteza mwanaume anayekupenda kwa sababu ya kuendekeza usister duu, kwani huwezi kuishi bila picha na hao masharobaro? Huwezi kuacha nyendo za mashaka kama kuchat na wanaume? So you are going to be a single mama.
Umri wake mkuu
 
Habari Za humu ndani wakuu? Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.
Mimi ni kimbaumbau so una maanisha sina true love, sio romantic na sijui kucare ka huyo kibonge.?!

Nimesikitika sana kututenga sie vimbaumbau na kuwapigia chapuo vibonge.
 
kuna wakati uwa naanzisha ugomvi tu bila sababu uwa natest mitambo.
wagombanao ndio wapendanao.
Tabia za huyo jamaa zote ninazo.
Hata mie ninazo sema mademu ndio wanasabisha unakuta ana comment picha za ma ex wake huko... Mara namba za ma ex anazo sa kwann usianze kumfatilia haya hachepuki inakua ngumu sana kumuamini moja kwa moja....
 
Hata mie ninazo sema mademu ndio wanasabisha unakuta ana comment picha za ma ex wake huko... Mara namba za ma ex anazo sa kwann usianze kumfatilia haya hachepuki inakua ngumu sana kumuamini moja kwa moja....
Juzi juzi tu nimetoka kumtukana kinoma akavimba.ila ujanja Hana ananitafuta.na jumamosi anakuja.

Kuna wakati wanajisahau unawakumbusha.hata Kama Sasa hivi sina kazi sitaki dharau ukiona umenichoka niambie tuachane kila mtu aendelee na maisha yake.
Sasa hivi katuliza akili
 
NB wanaume vibonge mjiamini jamani sisi tunawapenda hivyo hivyo maana mnaroho nzuri sana, na mnajua kupenda,hawa walamba lips hamna kitu ni show off tu, kwa hivyo mkipendwa mshikamane muache mahangaiko na mawivu yasiyo na kichwa wala miguuu. Niwatakie kila la kheri wanafamilia wa JF katika ujenzi wa Taifa letu.
Mbona kama vile wewe ni mwanaume?
 
Yan uwe dem angu af nisishike cm yako? ntakuaminije? ntajuaje kama unachit au hauchit?
wewe dem wa mtu lkn hujieshim uko chuo au kazini maboya yanakushkashka tuu bila mpango 'mnapiga picha na wenzio mnaekeana mapozi tata unapigiwa cm haupokei et melala nkikuchek watsup sioni last seen

Tehtehh m nakuacha asbui na mapema sana mana ni kama hujielewi
au mepishana sana miaka na mwenz wako ?
uyo mwenzi wako anapenda kuwaza nn maisha sana au mapenzi sana au yupo nomo tuu?

Ivi mnajua kna mda wanaume hatupendagi bugha ndogondogo ka izo yan unaambiwa ubadlike we umeshpaza shingo
 
Habari Za humu ndani wakuu? Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.
Rubani, pesa pia anayo lkn ana muda wa kuandika sms kubembeleza penzi!?? Hii itakuwa chai au mwanaume huyo unayemzungumzia ni wale walamba lips!
 
Binafsi Naona kuna vitu umetudanganya kwenye hii story yako:

UONGO WA KWANZA ULIOTUAMBIA
Hupendi wanaume handsome sana, hii sio kweli, aidha we ni sitaki mbichi hizi, au ulijaribu kudeti na wanaume wa aina hiyo wakaishia kukuumiza, Au hawakukuchukulia serious, walikula mzigo wakasepa...Hakuna binadamu asiependa kitu kizuri

UONGO WA PILI ULIOTUAMBIA
Ulimpenda jamaa yeye kama yeye, hlf jamaa ni kibonge, mwanzoni hukumpenda hofu baadae ukampenda (huu ni uongo) ukweli ni kuwa huyo mwanaume Ulimpendea hela, Utakuta alikua anakupa sana hela bcoz kwenye maelezo yako ulisema huyo mwanaume ni rubani, na kibongo bongo tunaamini rubani wanalipwa pesa mingi..Na huyo mwanaume alijua unampendea hela ndo maana alikua insecure, huenda kuna 2nd side ya story hujatuambia, labda ulikuwa unambania papuchi..unamuomba sana hela, ulikuwa unam-mistreat Etc.

Yote 9, kama uloongea kuhusu huyo x wako Ni kweli, bhasi huyo x wako hana akili Miss Cherry
 
Hehehehehe acha nicheke tu...

Umenikumbusha ex bf wangu wa kwanza, alikuwa na tabia za kindenzi kama hizo! Ila hili la kwangu lilikuwa linapenda kitonga mteremko na halijui nini maana ya mwanamke asee, halijui kucare,lenyewe linajua kuomba uch..tu...nikaliambia kafie mbele mwanaume kama mwanamke asee full kujiliza
Yani sipendi mwanaume anaejiliza uwiiiii!!
 
Utakuwa single bibi ww na watakutumia haswa si unaboy wako hapo chuoni et unaigiza unampenda rubani kisa hela
 
Milishaacha kila Mkuu. Alafu kwa nn niwe single mother wakati sina mtoto wala ujauzito wake?
Nisikilize binti yangu, huyo jamaa anakupenda sana ila hajiamin, anahis wew ni mzuri sana so huwez kuwa nayeye tu peke yake hasa kwa wanawake wa sasahv walivyo, kikubwa mwaminishe kwa vitendo kwamba unampenda na huna mwingine. Simu yako ukikutana naye iweke mezan, toa password zote. Endelea kumheshimu na msisitize unampenda na hujawahi ona mwanaume km yeye.

Ukiweza tafuta kujua historia ya mahusiano yake ya nyuma inawezekana labda alipigwa na kitu kizito.

Kumbuka huyo jamaa anakupenda sana ba km utampoteza basi unaenda kumpoteza mwanaume anayekupenda sana. Ni heri uvumilie na ujifunze kuishi naye kwa mapungufu yake hayo kuliko kukutana na mtu mlevi kupindukia au Malaya. Usisahau kuwa hakuna mkamilifu chini ya jua.

Kila la kheri!!
 
Hehehehehe acha nicheke tu...

Umenikumbusha ex bf wangu wa kwanza, alikuwa na tabia za kindenzi kama hizo! Ila hili la kwangu lilikuwa linapenda kitonga mteremko na halijui nini maana ya mwanamke asee, halijui kucare,lenyewe linajua kuomba uch..tu...nikaliambia kafie mbele mwanaume kama mwanamke asee full kujiliza
Hehehehehehehehe ila baridii tuu kama alikumbato full

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom