Hatimaye uhusiano wangu umefikia mwisho...

Hatimaye uhusiano wangu umefikia mwisho...

Habari Za humu ndani wakuu? Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.
Naamini hiyo ni moja ya funzo katika maisha ... mimi naona imekaa kama changamoto iliyo ndani ya uwezo wako .. pia naona inarekebishika ... ili ukomae kimahusiano kuna mapito lazma utapitia .. no one is perfect trust me
 
Mm sio yule mdada ambaye siwezi kuishi pasipo kudate, bado nipo chini ya wazazi kwaiyo simtegemei yeye financially

Ila mkuu tukiachana na mapungufu ya jamaa,una kaugonjwa ambacho kanawacost wanavyuo wengi,”kuwa na matarajio makubwa sana kwenye haya maisha” Hapo ulipo unaona kuna watu zaidi ya huyo jamaa wanastahili kuwa na wewe kitu ambacho siyo rahisi kivile. Mimi nikuulize swali,ulishawahi kuongea na jamaa kuhusu hayo mapungufu yake ukaona hawezi badilika?
 
Mtu mwenye wivu sanaa ndio anakupenda kafa kaoza na nikuibie siri huyo ana demu mwingine yoyote zaidi yako ndio anakuwa ivyo, angekuwa na demu mwingine au mademu wengine asingekuwa na wivu kiasi hicho me nishakuwa sana na tabia hizo hila zimeisha kitambo baada ya kupata michepuko. Ushauri wangu komaa na huyo jamaa usimuache anakupenda kweli utanishukuru baadae.
 
Hapa kwenye uzuri kufananisha baina yenu ndio mdudu, ukishakosoa uzuri basi, maana hisia unajitambua kuwa hao wengine ama unakutana na wenye mvuto zaidi yake, hisia zako katika hilo haziwezi kwenda bure, pesa, kuhonga, kupenda na etc, bad luck jamaa alipenda muonekano wako pia tunaita sare tasa endelevu kwa tija nunda nunda.
 
Habari Za humu ndani wakuu? Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.
Mungu amenijaria kipawa cha kusoma emotions za watu.

Maelezo yako yana akisi ni namna gani bado unampemda.

Umeandika ili kutafuta sympathy and comfort. moyoni unaumia na unashikwa na hofu itakuwaje kama ataamua kukupotezea mazima.

Unawaza itakuwaje endapo kama ataamua kuacha kukutumia text za kukubembeleza mruduane.

Wanaume huwa tunaumia sana kwenye mapenzi, ila maumivu yetu ni ya muda mfupi. tunawahi kusahau na kupuuza haraka. baada ya hapo nasonga mbele na kutafuta mwanamke mwingine wa kunipa faraja.

Nakutabiria, utakaza weee ila mwisho wa siku utamtafuta tu. ni wewe ndiye utakayeishia ku bowdown kwa huyo jamaa.
 
Habari Za humu ndani wakuu? Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.
Usimsamehe please!!
nasisi tunakupenda na tunaitaka hiyo nafasi.....😃
 
Anaekuonea wivu ndo anakupenda kweli...ila ulikuwa na jukumu la kubalanc wivu wake kwa kuondoa makando kando ambayo mwenyew ndo umekir ulikuwa unayafanyaa......ipo siku utajakumbuka umuhimu wa wivu wake pale utakapokutana na nunda kama mim ambaye siulizi chochote ili mradi tu umenipa mbususu..na kwa hil nnavyojua wanawake mnavyopenda attention utaa za kulia lia tena kwamba mpnz wangu hanijali.....in short bora shetan unaemjua kulikom malaika ambaye haumjui
 
Anaekuonea wivu ndo anakupenda kweli...ila ulikuwa na jukumu la kubalanc wivu wake kwa kuondoa makando kando ambayo mwenyew ndo umekir ulikuwa unayafanyaa......ipo siku utajakumbuka umuhimu wa wivu wake pale utakapokutana na nunda kama mim ambaye siulizi chochote ili mradi tu umenipa mbususu..na kwa hil nnavyojua wanawake mnavyopenda attention utaa za kulia lia tena kwamba mpnz wangu hanijali.....in short bora shetan unaemjua kulikon malaika ambaye haumju
 
Habari Za humu ndani wakuu? Natumaini wote ni wazima wa afya ukiachilia mbali changamoto za kijamii zinazotukabili, kama vile Mgao wa umeme na maji, binadamu tuache ukaidi wa kuharibu vyanzo vya maji ili kuepukana na hili janga la ukame,in Chief Hangaya’s voice.
Taarifa hizi zimfikie lemutuz mzee wa bebez
 
daaaaaaaaaaaaaaaah kuna wanaume wanachezea chance ......................imagine nina pesa ndefu sana (mwaka huu ntawekwa kwenye list ya 21 ya forbes as kijana tajir chin ya miaka 30) ................lakn cjawahi kubaliwa na demu af kuna msenge anachezea chance adimu hizo

Utaishia kununua malaya tu
 
Wewe una wanaume wengi, jamaa yuko sahihi!! Meseji za nyuma na wanaume wako ukiwa chuo kwann huzifuti mpaka bwanaajo anazikuta?

Ulipokataa kutoka na jamaa kisa Research proposal na assignments za nini wakati ulishasema wewe ulishamaliza chuo zamani??
Ana supplementary mkuu
 
Pole ila ukweli mchungu unaenda kupoteza mwanaume anayekupenda kwa sababu ya kuendekeza usister duu, kwani huwezi kuishi bila picha na hao masharobaro? Huwezi kuacha nyendo za mashaka kama kuchat na wanaume? So you are going to be a single mama.
Inaonekana wazi kuwa hajiheshimu,pasua kichwa na ana utoto mwingi ndio maana jamaa anashindwa kumuamini.

Na kwa maelezo anahisi yeye ni mzuri na ana hadhi ya juu kuliko mwanaume. Hili analionyesha kwa vitendo kwa mwanaume pengine bila mwenyewe kujijua. Wanawake aina huwa kama hawapo serious kwa wanaume walio nao. Huwa ni kama bado wanatafuta mahusiano mengine. Hawaoni hasara kutoa namba na kuwasiliana na wanaume wengine,ku-flirt,kupiga picha,kujichekesha n.k
 
Back
Top Bottom