Hujanielewa. Hata mimi nasikitika sana kuwa kwenye hiyo hali. Angalia wale viongozi Daruso kilichowakuta. Na hakuna hata wanafunzi walau waliopambana viongozi wao waliposimamishwa masomo.Hata nyie yatawakuta tu kama sio nyie hata vizazi vyenu
Hujanielewa. Hata mimi nasikitika sana kuwa kwenye hiyo hali. Angalia wale viongozi Daruso kilichowakuta. Na hakuna hata wanafunzi walau waliopambana viongozi wao waliposimamishwa masomo.Hata nyie yatawakuta tu kama sio nyie hata vizazi vyenu
Huo siyo ukweli bali ni kujimbwambafyWewe endelea.kujificha nyuma a keyboards,ukweli ndio huo hutaki acha
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania inakuwa banana republic wewe unafurahia ,boys kweliSerikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona wewe ni mwaccm tena damudamuWameomba maridhiano na watekaji. Mtu unapinga maovu unaanzia wapi kuomba maridhiano na muovu ? Yaani wapinzani wa CCM bwana. Hii nchi ukitaka kuishi kwa raha bora uwe hauna chama chochote cha siasa kama mimi.
Aisee kumbe siku hizi kubambikia watu kesi za uhujumu uchumi ni ujanja!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna uwezekano wa kupata Tume HURU ya Uchaguzi. Ni sawa na kumpata kiongozi wa mpira wa miguu asiye aidha Yanga au Simba! Mwanasiasa yeyote atakuwa CCM au Mpinzani wa CCM. Hata KENYA unaona mambo bado.Unaongea utoto gani? Naona unajaribu kupandikiza uoga. Kama huna hoja sio lazima ianzishe uzi.
Unasema watu wakosoe kwa staha na maoni yao yatafanyiwa kazi.
Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi inadaiwa zaidi ya miaka 20 na bado hazipatikana, je ni busara gani mnahitaji zaidi ya uvumilivu wote huo?
Gaddafi yuko wapi?ElBashir yupo wapi?
Unapenda kusakizia wenzako, wewe kama si mwoga anzisha vagi
Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa yaani. Yaani yakikukuta unahangaika kivyako. Hakuna alie nyuma yako. Wanakusupport nyuma ya internet.
Kiujumla hamna cha maana ulichoongea, kila mtu ana stahili yake ya kutoa maoni, malalamiko, au hisia zake, na inategemea na jinsi jambo lilivyo mgusa, uwezi kuwafanya wawe na mtindo mmoja, kufanya wawe na mtindo mmoja ni jukumu lako kuamua kuwafunga, kuwateka, kuwapoteza, kuwafugulia mashitaka upendayo wewe, napa ndio unapatikana udikiteta, ambao ni mmbaya kwako mwenyewe,Serikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika kama mtu mwenye akili timamuSerikali au dola kwa ujumla ina mkono mrefu sana, na kwa muundo wake haijawahi kushindwa, huwa ni suala la muda tu.
Hivyo ni vyema unapotaka kuitunushia misuli lazima utafakari kwa kina sana, kwa maana ya madhara utakayoyapata wewe binafsi, familia yako na jamaa zako kwa ujumla.
Unaweza pata umaarufu wa muda mfupi lakini madhara yake ni ya muda mrefu.
Na kwa kawaida ukiona serikali ina deal na wewe ujue imejiridhisha kwa asilimia zote toka vyanzo vyake ya kua unaikosea.
Ni vigumu sana serikali kuonea raia wake wema, nasema haiwezekani. Nashauri wale mnaojiita wapambanaji dhidi ya dola mtafakari kwa kina sana kabla ya kutenda.
Mwisho kosoeni kwa staha mkiweka hadharani njia au mawazo mbadala, yatafanyiwa kazi hii ni imani yangu.
Kutusi, kudhihaki, kukejeli, kuonyesha dharau kwa mamlaka kwa kisingizio cha kukosoa haikubaliki hata kidogo, mtaumia kwani kila zama na kitabu chake, someni alama za nyakati.
Dua la kuku halimpati mwewe. Tulilia mpendwa wetu apelekwe mahakamani, ona sasa.
Tukutane tarehe 07/01/2020, safari ndio kwanza imeanza.
Narudia tena serikali haishindwi, ni suala la muda tu, ukiona mwenzako ananyolewa tia maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ndie yule unakosoa kwa matusi iko siku yakikukuta ndio utajuaUnaongea utoto gani? Naona unajaribu kupandikiza uoga. Kama huna hoja sio lazima ianzishe uzi.
Unasema watu wakosoe kwa staha na maoni yao yatafanyiwa kazi.
Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi inadaiwa zaidi ya miaka 20 na bado hazipatikana, je ni busara gani mnahitaji zaidi ya uvumilivu wote huo?
CCM unajiona ukiwa huko ndio umemaliza kila kitu, wenyewe mnalia huko ila mnashindwa kusema tu namna gani mnalia.