Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,785
- 218,411
Kabla ya kukutwa na Umauti , Mzee Reginald Mengi alikuwa na mpango wa kujenga kiwanda cha kutengeneza Simu za Kisasa zinazoitwa Smartphone .
Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .
Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.
Mpango huo ulipotea baada ya Mzee huyo kufariki Dunia .
Sasa leo Waziri wa mambo ya kigeni January Makamba amewaleta Wahindi ili kuziba Pengo hilo.
---
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Tanzania inauza zaidi mazao ya kilimo nchini India huku wao wakiuza zaidi nchini dawa na vifaa vya viwandani.