Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,453
- 283,788
Thanks for this, this is very good news!.Baada ya kelele za wadau hatimaye Alloyce Nyanda ameachiwa akiwa hai
Asante Mungu
Thanks for this, this is very good news!.
P
Mlikua wapi kupaza sauti kwa mwenzenu kushikiliwa kinyume na sheria kama mlivyoipongeza tume ya Chande wewe na Balile ?Thanks for this, this is very good news!.
P
Akijibu nistueMlikua wapi kupaza sauti kwa mwenzenu kushikiliwa kinyume na sheria kama mlivyoipongeza tume ya Chande kama alivyofanya Balile na wewe?
kwahiyo wewe na mamluki wenzako waongo mmeumbuka baada ya uzushi wa muda mrefu sana mliokua mnauhubiri kua muungwana hayupo hai right?Baada ya kelele za wadau hatimaye Alloyce Nyanda ameachiwa akiwa hai
Ikumbukwe kwamba Nyanda mtu mwenye Kula ugali n.a. Sangara mkavu alituhumiwa kufadhili vikundi vya mitandaoni, Tukashangaa Nyanda huyu anayevaa Skuna Leo Ana hela za kufadhili vikundi!
Hata hivyo simu zake zinashikiliwa ikiwemo ile ya tochi ya Tecno
Asante Mungu
kwahiyo wewe na mamluki wenzako waongo mmeumbuka baada ya uzushi wa muda mrefu sana mliokua mnauhubiri kua muungwana hayupo hai right?
Ngoja niku- challenge
Unaamini kelele ndizo zimesaidia kwa kiwango kikubwa.
Inakuwaje kelele hizohizo zimeshindwa kusaidia kupatikana kwa wengine kama Mdude na wengine?
Unazungumziaje vyombo vya habari kukaishia au ku pretend na kukaa kimya japo mwana habari mwenzao alitekwa?Thanks for this, this is very good news!.
P
Walamba nyayoJuzi madam ritha katamka kuwa tuna media uchwara watu wakamsakama Hadi uongozi ukatoa karipio ila mwenzao kachikuliwa kwenye mazingira tatanishi media zote zimeufyata zinajadiri porojo na ujinga ujinga
Itoshe kusema kuwa midia za bongo n kichefuchefu
HayupoLucqs mwashambwa nitakuziba mabao uko wapi π π π
Choo cha babake Lucas Mwashambwa hicho halafu anashabikia mafisadi ya CCM.