Hatimaye nipo huru

Sio busara kutaka kulinganisha watu wasiolingana. Mkuu JBourne59 amesoma elimu ya zamani sio kama hao uliowaita hapa. Kuna pengo kubwa sana kati ya elimu ya sasa na zamani.
Ni muhimu kuendelea kujifunza as long as elimination haina mwisho

Hapa sio kulinganisha zaidi ya kujua fasihi katika ubora wake...

Pole kama umekwazika!
 
Jamaniiii jamanii unanioneaaaa!! Mi hata sipendi hivo vitruuuu😎😎! Navichukiaaaaaaaaajeee! Nakuja kuendelea! Mwamba keshawafikia??? Yuko vizuri asee!!
 
Ni muhimu kuendelea kujifunza as long as elimination haina mwisho

Hapa sio kulinganisha zaidi ya kujua fasihi katika ubora wake...

Pole kama umekwazika!
Elimination? Umeniacha kidogo mkuu.
Wala sijakwazika nimekupa tu tahadhari in case kama ulikuwa hujui.
 
Waganga wanakula sana hivi vitoweo kuku mbuzi kondoo ng'ombe za wateja sanaaa!
leadermoe Bado naendelea
 
"Hii kafara ya Leo kiboko Nimetibu Watu wasiliana tu mmoja akiwa kiongozi maarufu" Mganga alikua na mbwembwe huyooi doh!!
leadermoe hivi Kwanini njiapanda inatumika sana katika hayo mambo ya 👽???
Bado Naendelea kusoma 🙇
 
"Hii kafara ya Leo kiboko Nimetibu Watu wasiliana tu mmoja akiwa kiongozi maarufu" Mganga alikua na mbwembwe huyooi doh!!
leadermoe hivi Kwanini njiapanda inatumika sana katika hayo mambo ya
???
Bado Naendelea kusoma
Kwa kweli labda mshana ana jb mie walaaa, mweupe pande hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…