moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,905
- 4,940
Shoo njema
Cku hizi mtu ukianzisha uzi tu watu wanarejea kwenye makaburi yaliyojificha[emoji23]. Mkuu me nlikuwa nauliza tu kama lile tatizo lako la hofu na kutetemeka ukiwa na pisi kama limeisha? [emoji23] Samahani lakin! Coz ulituletea uzi hapa kwamba pisi ikikukubalia tu bas unaikinai na vimbwanga kibao [emoji23]. Vp kwa huyo shemeji yetu hali ipoje
[emoji23][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]Hongera sana, MAENDELEO HAYANA CHAMA. Oktoba 28 iko konani.
mzee hata ukiwa njema(ukwasi) bado ngoma ni ngumu kuwatafuna?Waarabu Wana ubaguzi Sana hawezi kutoa papah kwa mnubi labda kama wameagizwa na majini Yao ya biashara
Hawana tofauti sana na hawa akina koku ila warabu wao wanakaubaridi kidogo.Tupe analytical perspectives zako kuhusu kipochi manyoya ni kama cha kokubonza wa mwananyamala kwa kopa?
Wanapenda rough roadShoo njema
Ukwasi wa majini wanao wa kununua malori na mabasi huku unashindia kashata na chai. Ukivaa Sana labda kobazi na kanzumzee hata ukiwa njema(ukwasi) bado ngoma ni ngumu kuwatafuna?
Duuh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti kobasi na kanzu yaani hapo ndiyo umeulamba.Wanapenda rough road
Ukwasi wa majini wanao wa kununua malori na mabasi huku unashindia kashata na chai. Ukivaa Sana labda kobazi na kanzu
😂 😂 😂 😂 😂 😂Ukwasi wa majini wanao wa kununua malori na mabasi huku unashindia kashata na chai. Ukivaa Sana labda kobazi na kanzu
Wera wera wana MMU
Kwenye pilika pilika zangu nikakutana na binti ya kiarabu. Sio wale machotara hapana huyu ni mwarab og kabisa. Nikatupia ndoano mtoto wa kike akaingia kwenye 18 za mkemia
Mwanzo nilikua naona itakua ngumu maana tumeshazoea kudate na machotara na sanasana couple ya muhindi original au mwarab original dhidi ya mwafrika zinakua ni nadra sana
Mwanzo niliona hawana maajabu yoyote ila kumbe wapo[emoji91][emoji91]balaa. Mtoto ndani ya geto na kupika anapika mapishi balaa na anasoma nje ila issue ya corona ndo hivyo tena nipo naye
[emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320]