Hatimaye nimeopoa pisi kali ya kiarabu

Hatimaye nimeopoa pisi kali ya kiarabu

Wera wera wana MMU

Kwenye pilika pilika zangu nikakutana na binti ya kiarabu

Sio wale machotara hapana huyu ni mwarab og kabisa

Nikatupia ndoano mtoto wa kike akaingia kwenye 18 za mkemia


Mwanzo nilikua naona itakua ngumu maana tumeshazoea kudate na machotara na sanasana couple ya muhindi original au mwarab original dhidi ya mwafrika zinakua ni nadra sana

Mwanzo niliona hawana maajabu yoyote ila kumbe wapo[emoji91][emoji91]balaa
Mtoto ndani ya geto na kupika anapika mapishi balaa na anasoma nje ila issue ya corona ndo hivyo tena nipo naye
[emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320]
2457376_JamiiForums-621070314.jpg
 
Safi Sana, jitahidi maake unaliwakilisha taifa kwa waarabu.
 
Kwa ufaha
Wera wera wana MMU

Kwenye pilika pilika zangu nikakutana na binti ya kiarabu

Sio wale machotara hapana huyu ni mwarab og kabisa

Nikatupia ndoano mtoto wa kike akaingia kwenye 18 za mkemia


Mwanzo nilikua naona itakua ngumu maana tumeshazoea kudate na machotara na sanasana couple ya muhindi original au mwarab original dhidi ya mwafrika zinakua ni nadra sana

Mwanzo niliona hawana maajabu yoyote ila kumbe wapo[emoji91][emoji91]balaa
Mtoto ndani ya geto na kupika anapika mapishi balaa na anasoma nje ila issue ya corona ndo hivyo tena nipo naye
[emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320]
Hayo ni Maendeleo ya serikali ya awamu ya Tano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom