toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,607
- 4,769
Wera wera wana MMU
Kwenye pilika pilika zangu nikakutana na binti ya kiarabu. Sio wale machotara hapana huyu ni mwarab og kabisa. Nikatupia ndoano mtoto wa kike akaingia kwenye 18 za mkemia
Mwanzo nilikua naona itakua ngumu maana tumeshazoea kudate na machotara na sanasana couple ya muhindi original au mwarab original dhidi ya mwafrika zinakua ni nadra sana
Mwanzo niliona hawana maajabu yoyote ila kumbe wapo[emoji91][emoji91]balaa. Mtoto ndani ya geto na kupika anapika mapishi balaa na anasoma nje ila issue ya corona ndo hivyo tena nipo naye
[emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320]
Kwenye pilika pilika zangu nikakutana na binti ya kiarabu. Sio wale machotara hapana huyu ni mwarab og kabisa. Nikatupia ndoano mtoto wa kike akaingia kwenye 18 za mkemia
Mwanzo nilikua naona itakua ngumu maana tumeshazoea kudate na machotara na sanasana couple ya muhindi original au mwarab original dhidi ya mwafrika zinakua ni nadra sana
Mwanzo niliona hawana maajabu yoyote ila kumbe wapo[emoji91][emoji91]balaa. Mtoto ndani ya geto na kupika anapika mapishi balaa na anasoma nje ila issue ya corona ndo hivyo tena nipo naye
[emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320][emoji1320]