Hatimaye nimempata!

Hatimaye nimempata!

tukupe muda penzi jipya linakuwa vere howt mpaka unaeza fanya mambo ya ajabu kama haya
Kelele nyingiii, serious rship hazielezewi Jf, hizi ni sehemu za mbwembwe na kujifariji baada ya kupigwa matukio ya kutosha.

Atakachofanya huyu ni akipigwa chini hutaona ushuhhda wake wa kupigwa chini.

Ila all in all kwetu wanaume wenye darubini kali mwanamke anae andika andika sana mitandaoni ni wale wasiofugika (much knows).
 
Good morning ma lovers,

Moja kati ya vitu ambavyo tunatakiwa kuepukana navyo na kupambana navyo kwa namna yoyote ile ni pamoja na upweke and finally Leejay49 nimelishinda hili.

Maana haikua rahisi being single for almost two years, na nilishagive up kwamba hakuna mapenzi ya kweli due to senarios zilizojirudia kwa ambao nilidhani wangekua wapenzi wangu (Uongo na maisha ya kuigiza) vilinitoa kwenye reli kabisa.

Sikua na option nyingine zaidi ya kukubali kuwa i will be single forever🥹🥹, kutafuta sana hela kwa nguvu na akili zangu zote, but still haikusaidia maana i used to spend alot of it nikidhani i will find peace of heart na sikuwahi kuipata. Ikafika hatua nikawa namuogopa kila mtu atakayeniface na kushow interest ya kua na mimi.. Haikua rahisi🙌🙌

But guys tusiache kumuomba Mungu, yaani kama unaweza kufunga hata tatu kavu just do it, inasaidia sana. Lilikuwa ni miongoni mwa maombi yangu ya mwisho kabisa, yaani kuomba kwajili ya mwanaume wa ndoto zangu, ilikua ni maombi extra baada ya kuombea kila kitu😃 lakini gues what, limetimia kabla ya wakati!

I do love this man na siwezi ficha, amenibadilisha kila kitu ikiwemo mtazamo wangu kwa hawa viumbe wa kuitwa Men. He is not perfect kama mimi ambavyo siko perfect but we can make it na tutafika mbali (Mungu wangu ninayemwamini hajawahi kuniacha na hata kwenye hili pia naamini hataniacha).

Kama kuna mtu ambaye maybe nilishakwambia nakupenda au nakupenda pia, am sorry zilikuwa ni stress tu🙏🙏 anayependwa kapatikana (na hili halihitaji maelezo). Am in Love🥰🥰❤️

Muwe na Jumapili iliyo njema.
Ni suala la muda Tu,😀😀😀
Stress bado ziko pale pale subiri muda ufike tu utaelewa
 
Amekuja kwangu lione sura kama stendi ya maparachichi
Wana jamii naombeni mumu ambie huyu dada, asi nizoee tafadhali.

Jana Katoka kuni tukana bila kosa, Leo ana nishobokea🤓.

Sasa kaanza kuni tukana.
Niki mjibu, Nisije onekana mi mkorofi🙏🙏, Depal, Mpaji Mungu, Nuzulati, Charles kilian, Hannah, Aaliyyah,
Screenshot_20240303-151937_1.jpg
 
Wanaume tunamambo sana,Dr.mmoja nilimsikia anasema mwanaume vile vitu vya kwanza kumvuta kwa mwanamke ni muonekano eg.tako,mguu,jicho,rangi,urefu etc but akikaa nae 90 days huanza kuviona hivyo vitu havinamaana kabisa kwake.

Phase ya pili ndiyo huamua maisha yandoa kua yaendelee au yawe ya fujo au furaha,hii phase kwa mwanaume huutawakiwa na matendo ya mke,tambua mwanzo matendo yalijificha hivyo Matendo ndiyo yatadetermine maisha Yao yaweje.

My alert to you,tulia kwanza usijisifu Sana mapemaa(phase 1), kama unaitaka Ndoa chunga sana play smart.... Like uhuru huna umepolwa na mme. ...eg.kuchekacheka na Ma@X epuka,onesha mipango ya pamoja ya mdaa mrefu.
 
Wanaume tunamambo sana,Dr.mmoja nilimsikia anasema mwanaume vile vitu vya kwanza kumvuta kwa mwanamke ni muonekano eg.tako,mguu,jicho,rangi,urefu etc but akikaa nae 90 days huanza kuviona hivyo vitu havinamaana kabisa kwake.

Phase ya pili ndiyo huamua maisha yandoa kua yaendelee au yawe ya fujo au furaha,hii phase kwa mwanaume huutawakiwa na matendo ya mke,tambua mwanzo matendo yalijificha hivyo Matendo ndiyo yatadetermine maisha Yao yaweje.

My alert to you,tulia kwanza usijisifu Sana mapemaa(phase 1), kama unaitaka Ndoa chunga sana play smart.... Like uhuru huna umepolwa na mme. ...eg.kuchekacheka na Ma@X epuka,onesha mipango ya pamoja ya mdaa mrefu.
Asante kwa hekima hizi kiongozi Nzagambaaa 🥰🙏
 
Back
Top Bottom