Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Ungenijua the way am positive (and real) hata usingeandika hiki.

Ni vile wegine hatu entertain unafiki unafik tunapima facts mbona ziko wazi..probably umri wako bado umekunyima experience ila if u open ur eyes bila kupepesa macho huyu mtu anatudanganya

A whole year unafanya ufiraun huu kumwacha ulikua unaogopa nini!?

Serious women / girls wasiopenda mambo hayo kitendo cha kuyagusia tuu basi mtagombana na mtaachan on spot without a notice.

Punguzen unafiki in the name of being positive
Sawasawa🤝
 
I never heard such a strong confess like this one. Ninachoweza kukwambia dada yangu is this, that you have got only one step to deliver and restore yourself from that way of life you used to live in; GIVE YOUR LIFE TO JESUS AND ALL WILL SETTLED DOWN. Naimani umenielewa vizuri sana
 
Habarini wana JF,

Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.

Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni takriban mwaka mmoja japo tumekua hatufanyi mara zote tunapokutana.

Kusema kweli roho inaniuma sana, najiona mkosefu mbele ya Mungu wangu, nalia kila siku asubuhi ninapoiwaza dhambi hii, cha ajabu mwenzangu alikua haoni kama ni jambo la ajabu ndio kwanza alikua ananiambia mbona watu wanafanya ndani ya ndoa na inaonekana marafiki zake wanafanya pia.

Roho inaniuma najuta hata kwanini nilikutana na huyu mwanaume, ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma.

Umri wangu umeenda nipo kwenye early 30th sasa, na sababu ya kutomuacha ni sababu ya malengo tuliyokua nayo na uhitaji wa ndoa na hata watoto lakini nimekaa nimefikiria sana.

Naona kwangu amani ya moyo wangu na pia afya yangu ni muhimu pia ,acha tu umri wangu uende hata bila ndoa kuliko kuja kuharibikia.

Namshukuru Mungu amenipa kazi nzuri na nna kipato tu kizuri kiasi kwamba hata nitakapopata watoto bado nina uwezo wa kuwalea pasipo hata kuolewa.

Nimekua nikisoma thread mbalimbali watu wanasema ni ngumu kuacha huu mchezo, mimi nasema ni rahisi kuacha huu mchezo kama unajua madhara yake na una utayari,nachowaza ni kwamba itakuaje nipate mwenza mpya na aje kugundua nimeshafanya huu mchezo!!,sijajua itakuaje ila all in all nimeamua kumove on,pia sio kweli et ukifanya hayo mambo unashindwa kuzuia haja ,ni mpaka ue mzoefu wa miaka 5 ndio utapata haya madhara.

Nakusihi wewe dada unaesoma uzi huu, acha kumuendekeza huyo mwanaume anaekufanyia mchezo mchafu, hakupendi na atakuacha siku ukishaharibikiwa, ukishindwa kuzuia haja na utakapoanza kuweka pampaz, mimi namshukuru Mungu kwa kuniokoa kamwe sitakaa kufanya tena hii dhambi.
Umeanza vzr San ila unenikera Happ mwisho ulivyofanya mwisho inaonesha ujajutia makosa yako Bado
Uwez sema kuwa hkn madhara ya kushindwa kuzuiz mavi sas kusema hvyo inamaana unachochea Zaid swala hili

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ungenijua the way am positive (and real) hata usingeandika hiki.

Ni vile wegine hatu entertain unafiki unafik tunapima facts mbona ziko wazi..probably umri wako bado umekunyima experience ila if u open ur eyes bila kupepesa macho huyu mtu anatudanganya

A whole year unafanya ufiraun huu kumwacha ulikua unaogopa nini!?

Serious women / girls wasiopenda mambo hayo kitendo cha kuyagusia tuu basi mtagombana na mtaachan on spot without a notice.

Punguzen unafiki in the name of being positive
fact


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom