Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!

Status
Not open for further replies.
From TZ Daima ".....Mbali ya hayo, ndugu huyo wa Ballali aliieleza Tanzania Daima kwamba, mke wa Ballali, Anna Muganda, alikuwa ameomba msiba wa mumewe ufanywe kwa faragha, ukiwahusisha ndugu, marafiki na jamaa zao wa karibu.

Alisema kutokana na hali hiyo, shughuli hizo za msiba zilikuwa zikifanyika pasipo kuwapo kwa shughuli zozote za wazi kama vile kuchukua picha za video au kupiga picha nyingine za kawaida."
hii ni nini sasa? hakuna picha za kawaida wala za video? Kuna jambo gani linafichwa hapa?
 
pengine maiti imeharibika sura jee! alaa mnataka mpaka mjue kalishwa sumu gani!
 
ukisikia kiini macho ndo hiki! yaani picha haziruhusiwi? hivi huyu mama anafikiri sisi wote mazumbukuku au mandondocha? to heaven sake, bilali is living somewherer, na ndiye anayeratibu huu mchezo wa kuigiza kwa kutumia remote
 
Habari za Balali ni utata tupu. Inawezekana kweli kafa na inawezekana wakawa wamefake kifo hiki. Yote yanawezekana. Leo hii bado utata juu ya kifo cha Hitler uko palepale kwa sababu kifo chake kijaa utata tupu. Sababu kubwa ya utata huu wa kifo cha Balali ni serikali hii hii kutokuwa straight kwenye issue hii. Nashangaa kwamba kwanza imechukua siku nyingi kutangaza kifo cha mtu mashuhuri kama huyu nchini mwetu. Lakini ni mara ya pili nasikia maziko ya mtu mashuhuri ambaye nimeamini siku zote ni mtizedi yanafanyika nje ya nchi bila sababu ya msingi. Mara ya kwanza alikuwa ni yule mtanzania wa asia aliwahi kuwa waziri katika awamu ya kwanza aliitwa Jamal nadhani kama sijapoteza kumbukumbu. Yeye alipostaafu tunaambiwa alikwend kuishi na bintiye Canada na akafia huko. Hadi leo siamini kwamba alikwenda kuishi na bintiye bali alifanya kama wafanyavyo hao ndugu zetu wanaoitwa watanzania wa asia ambao leo yuko Tz lakini akili na mipango yake iko kuishi milele Canada au Us au UK. Sasa naona na huyu habari zake zinachanganya. Mara alikuwa raia wa Us ohhhh mara ni Mtz basi hali ndivyo inavyotuchanganya. Lakini swali ambalo halijanitoka kichwani mwangu ni je, nchini hapa tunaajili watu wasio raia katika posts nyeti kama hizo kweli? Si siku moja tutamuajili hata rais au waziri mkuu au waziri wa utawala bora au waziri wa mambo ya ndani asiye raia? hapa ndio tuanelekea uelekeo upi? Ebu wote tujiulize hili!!!
 
Dakika tano zilizopita nimefanikiwa kupata dataz za ukweli 100% kuwa kweli Balali, amefariki napenda kutoa pole kwa ndugu,

According to the dataz amefia Winsconsin State, katika Hospitali moja kwenye kitongoji cha mji wa Madison,

Na the more dataz ni kwamba kabla hajafa, alikuwa na masaa kama 24 ya siri kwa mazungumzo na Mbunge Mkono.......,

Mazishi ni kesho DC, nitarudi baadaye kwa dataz zaidi!

Ahsante Wakuu, na Mods Mnaeza kuiunganisha hii ikiisha expire!

The man died, what difference does it make whether you accept it or not?
 
pengine maiti imeharibika sura jee! alaa mnataka mpaka mjue kalishwa sumu gani!

Kama maiti imeharibika sura, basi namna ya kumtambua ni rahisi sana (no DNA test needed). Wacheki tu kidole tu chake cha pete mkono wa kulia. Kama hakipo basi lazima atakuwa Balali kwani kilikatwa na mafiosi wa Kijapani aka Yakuza.
 
Habari za Balali ni utata tupu. Inawezekana kweli kafa na inawezekana wakawa wamefake kifo hiki. Yote yanawezekana. Leo hii bado utata juu ya kifo cha Hitler uko palepale. Sababu kubwa ya utata huu ni serikali hii hii kutokuwa straight kwenye issue hii. Nashangaa kwamba kwanza imechukua siku nyingi kutangaza kifo cha mtu mashuhuri kama huyu nchini mwetu. Lakini ni mara ya pili nasikia maziko ya mtu mashuhuri ambaye nimeamini siku zote ni mtizedi yanafanyika nje ya nchi bila sababu ya msingi. Mara ya kwanza alikuwa ni yule mtanzania wa asia aliwahi kuwa waziri katika awamu ya kwanza aliitwa Jamal nadhani kama sijapoteza kumbukumbu. Yeye alipostaafu tunaambiwa alikwend kuishi na bintiye Canada na akafia huko. Hadi leo siamini kwamba alikwenda kuishi na bintiye bali alifanya kama wafanyavyo hao ndugu zetu wanaoitwa watanzania wa asia ambao leo yuko Tz lakini akili na mipango yake iko kuishi milele Canada au Us au UK. Sasa naona na huyu habari zake zinachanganya. Mara alikuwa raia wa Us ohhhh mara ni Mtz basi hali ndivyo inavyotuchanganya. Lakini swali ambalo halijanitoka kichwani mwangu ni je, nchini hapa tunaajili watu wasio raia katika posts nyeti kama hizo kweli? Si siku moja tutamuajili hata rais au waziri mkuu au waziri wa utawala bora au waziri wa mambo ya ndani asiye raia? hapa ndio tuanelekea uelekeo upi? Ebu wote tujiulize hili!!!

Mkuu,

Kama huna data za Jamal basi uliza. Huyo mtu alikuwa mzalendo wa TZ, akalitumikia taifa, baadaye akatelekezwa kama akina Apiyo.

Ndugu zake wakaamua kumchukua na kwenda kuishi naye Canada. Alipofariki wakaona azikwe huko huko ili angalau waendelee kulihudumia kaburi lake.

Pia kuna mama yule secretary wa mwalimu, baada ya elimu yake ya maana Oxford, akaacha uongozi kwenye Labour party kuja kumsaidia mwalimu. Alipozeeka ikabidi arudi UK kuja kufaidi matunda ya NHS maana vinginevyo TZ angeshindwa hata kulipia huduma bora ya afya.

Je utawalinganisha watu kama hao na Balali?
 
Hapa na mimi naanza kuhisi kuwa kuna kitu nyuma ya pazia, ngoja tusubiri walioalikwa tuone kama wataweza kuconfirm kama kweli amekufa, lakini kama hakuna kupiga picha kudhibitisha itakuwa kazi kweli otherwise wataendeleza malumbano ambayo hayakuwa ya msingi kwani wangetuonyesha maiti inatosha kabisa kuwadhibitishia watanzania kuwa amekufa kweli.

Naona kama mke wake anampango mkubwa na mafisadi kwani na yeye anausika na ufisadi huu anajaribu kuficha ukweli, lakini katika hili la kuficha maiti amechemka kwani tungeweza kuamini kuwa amekufa hata kama wageweka mask kwenye jeneza kuliko kukataza watu kuona mwili.
 
Jamani BALALI HAJAFA

Check this out....

Baada ya kupata habari kuwa makachero wameingia US kumsaka Balali, wakajua kuwa hawana ujanja, jamaa angekamatwa tuu, njia pekee na ya mwisho iliobaki plus kusolve hii issue once and for all ni kufake death (jamaa hela anayo kufanikisha hilo ni kazi ndogo sana)

Tarehe za kifo kila mtu anatoa yake plus eti ndugu walichelewa kutoa taarifa ya kifo sbb ilikuwa inasubiri serikali iseme... iseme nini???

huku home hakuna dalili yeyote ya msiba nyumbani kwake...si jambo la kawaida kwetu waafrika

Maiti ya balali haita ruhusiwa kutazamwa/kuagwa

hii Info ya kifo mpaka kila mtu kaipata, imeoriginate form ANNA MUGANDA, of all the ppl...... ANNA MUGANDA simuamini hata kidogo yeye ni mweizi mwingine huyu, mtuhumiwa mwingine aliekula hela zetu

Ushauri, baada ya hayo "maziko" hao makachero waliotumwa mumfata BAlali, sasa wambebe huyo ANNA MUGANDA, kuja kujibu ili kujua aje kujibu nini rejea tanzania mafioso PDF

Tuandamane tuko pamoja mkuu hata mimi sijaamini hata kidogo.
Jambo ambalo watanzania wanatakiwa wafahamu ni kuwa tuna JK na Rais. Wajue kutofautisha kati ya Rais JK na JK in personal. JK in personal kwa kujua hatari ya mchezo mchafu waliofanya na Balali anaweza kufanikisha mchezo mchafu wa kufake dealth ya Balali at the same time yeye kama Rais anatuma makachero kumtafuta Balali kama mkuu wa dola. Uchunguzi utakaoletwa na makachero ndiyo utakaotolewa na siyo ule wa kwake anaoujua in personal.

Balali hajafa na hili mtalijua si muda mrefu ujao. Kitendo cha kutokujua alilazwa wapi, anaishi wapi, amefia wapi, kutoruhusiwa mazishi kufanyika inpublic, kutomuona, na mbaya zaidi hata picha kutopigwa ni ushahidi kuwa huyu jammaa hajafa bali ni mchezo mchafu umekuwa planned kuficha uovu wa watu fulani including JK. Serikali (Rais na siyo JK in personal) haiwezi kutoa detailed report juu ya kifo cha balali kwa kuwa haina data za kutosha na kwa maneno mengine wameingizwa mjini na balali na marafiki zake akiwemo JK. Utagundua kuwa serikali haitilii maanani sana hili jambo kwa kuwa wanaoongoza serikali wamo wanaohusika na mchezo huu mchafu.
 
Watu wanashindwa hata kujibu swali rahisi, je baada ya kufa alipelekwa hospitali gani?

Je nani wametoa death certificate ya Ballali? Tukipata hizo info tutapata pa kuanzia uchunguzi wetu.

Huyo mama Muganda kaandaa mpango mzima na wengine wote ni abiria tu katika basi lake la wadanganyao. Huyu mama ni rafiki wa Mkapa kwa muda mrefu. Huenda ndiye hata alimsaidia Ballali mpaka kuwa gavana BOT.
 
Sisi ngozi nyeusi tuna matatizo sana.

Hivi hamjiulizi hata maswali kwa nini akimbilie kuzikwa nchi za watu wengine tena eti na sikia kwa kuchomwa moto!

Turudi nyuma kidogo kwenye mali ya uma (EPA) walisema wakidhibitishwa wezi (mafisadi ) walioiba watachukuliwa hatua ikiwa pamoja na kufikishwa mahakamani sasa tangu Fedha zirudishwe sijasikia mtu aliyepandishwa mahakamani mpaka dakika hii alafu tena walivyokosa haya wanatangaza kuwa Fedha za EPA zimerudishwa BOT.

Na hisi huyu Mh. Kisura naye anajifunga kwa kuruhusu watu kutangazia uma mambo kama hayo wakati hayana ukweli wowote.

Namkumbuka sana Baba wa taifa alisema Mtoto mdogo ukimpa uhuru utakula asara sasa Chama tawara wamejiachia sana kiasi kwamba wanaumbuana wenyewe kwa wenyewe sometimes nasema bora kafa ili uma utambue ufisadi mkubwa unaofanywa na Chama (Kioo cha jamii)

Sikatai wote sisi ni mafisadi wadogo lkn hata Mzazi anapomwona mtoto anadokoa anamkomesha na anaacha, wabishi ndio wanaoendelea na sisi tunahaki ya kuwafundisha tukiwa kama Wazazi au Kioo kwao sisi ni binadamu sio malaika na ili ufanikishe lazima ukubari kuambiwa ukweli ndio utarekebishika.

Kweli siamini kuwa Bilali amefariki kwa sababu Fedha ni kisima Jeuri, so anaweza akatumia Fedha kubadilisha SURA, JINA , (Akajibadilisha ) alafu sisi huku tukatangaziwa kuwa Amefariki dunia ilimladi tu kupoteza ushahidi.

Kweli nitaamini tu pale nitakapoiona maiti yake kwa macho yangu na nitakwenda kwa gharama yoyote mkoani kwake Iringa kumwaga ndio nitaamini kuwa Balali amefariki Kweli kweli.

Samahani wapenzi kwa kuwa rudisha nyuma lakini ni lazima muwe na Msimamo.
 
Sisi ngozi nyeusi tuna matatizo sana.

Hivi hamjiulizi hata maswali kwa nini akimbilie kuzikwa nchi za watu wengine tena eti na sikia kwa kuchomwa moto!

Turudi nyuma kidogo kwenye mali ya uma (EPA) walisema wakidhibitishwa wezi (mafisadi ) walioiba watachukuliwa hatua ikiwa pamoja na kufikishwa mahakamani sasa tangu Fedha zirudishwe sijasikia mtu aliyepandishwa mahakamani mpaka dakika hii alafu tena walivyokosa haya wanatangaza kuwa Fedha za EPA zimerudishwa BOT.

Na hisi huyu Mh. Kisura naye anajifunga kwa kuruhusu watu kutangazia uma mambo kama hayo wakati hayana ukweli wowote.

Namkumbuka sana Baba wa taifa alisema Mtoto mdogo ukimpa uhuru utakula asara sasa Chama tawara wamejiachia sana kiasi kwamba wanaumbuana wenyewe kwa wenyewe sometimes nasema bora kafa ili uma utambue ufisadi mkubwa unaofanywa na Chama (Kioo cha jamii)

Sikatai wote sisi ni mafisadi wadogo lkn hata Mzazi anapomwona mtoto anadokoa anamkomesha na anaacha, wabishi ndio wanaoendelea na sisi tunahaki ya kuwafundisha tukiwa kama Wazazi au Kioo kwao sisi ni binadamu sio malaika na ili ufanikishe lazima ukubari kuambiwa ukweli ndio utarekebishika.

Kweli siamini kuwa Bilali amefariki kwa sababu Fedha ni kisima Jeuri, so anaweza akatumia Fedha kubadilisha SURA, JINA , (Akajibadilisha ) alafu sisi huku tukatangaziwa kuwa Amefariki dunia ilimladi tu kupoteza ushahidi.

Kweli nitaamini tu pale nitakapoiona maiti yake kwa macho yangu na nitakwenda kwa gharama yoyote mkoani kwake Iringa kumwaga ndio nitaamini kuwa Balali amefariki Kweli kweli.

Samahani wapenzi kwa kuwa rudisha nyuma lakini ni lazima muwe na Msimamo.
 
Re: Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!(HAPANA UKWELI HAPA)

--------------------------------------------------------------------------------

Sisi ngozi nyeusi tuna matatizo sana.

Hivi hamjiulizi hata maswali kwa nini akimbilie kuzikwa nchi za watu wengine tena eti na sikia kwa kuchomwa moto!

Turudi nyuma kidogo kwenye mali ya uma (EPA) walisema wakidhibitishwa wezi (mafisadi ) walioiba watachukuliwa hatua ikiwa pamoja na kufikishwa mahakamani sasa tangu Fedha zirudishwe sijasikia mtu aliyepandishwa mahakamani mpaka dakika hii alafu tena walivyokosa haya wanatangaza kuwa Fedha za EPA zimerudishwa BOT.

Na hisi huyu Mh. Kisura naye anajifunga kwa kuruhusu watu kutangazia uma mambo kama hayo wakati hayana ukweli wowote.

Namkumbuka sana Baba wa taifa alisema Mtoto mdogo ukimpa uhuru utakula asara sasa Chama tawara wamejiachia sana kiasi kwamba wanaumbuana wenyewe kwa wenyewe sometimes nasema bora kafa ili uma utambue ufisadi mkubwa unaofanywa na Chama (Kioo cha jamii)

Sikatai wote sisi ni mafisadi wadogo lkn hata Mzazi anapomwona mtoto anadokoa anamkomesha na anaacha, wabishi ndio wanaoendelea na sisi tunahaki ya kuwafundisha tukiwa kama Wazazi au Kioo kwao sisi ni binadamu sio malaika na ili ufanikishe lazima ukubari kuambiwa ukweli ndio utarekebishika.

Kweli siamini kuwa Bilali amefariki kwa sababu Fedha ni kisima Jeuri, so anaweza akatumia Fedha kubadilisha SURA, JINA , (Akajibadilisha ) alafu sisi huku tukatangaziwa kuwa Amefariki dunia ilimladi tu kupoteza ushahidi.

Kweli nitaamini tu pale nitakapoiona maiti yake kwa macho yangu na nitakwenda kwa gharama yoyote mkoani kwake Iringa kumwaga ndio nitaamini kuwa Balali amefariki Kweli kweli.

Samahani wapenzi kwa kuwa rudisha nyuma lakini ni lazima muwe na Msimamo.
 
Wabongo bana...yana hata kifo cha mtu kinakuwa na utata....jamani mtu akifa si kafa tu? Utata unatokea wapi sasa? Ingekuwa utata upo kwa jinsi alivyokufa hapo ningeelewa.....aaaahhh...Ndivyo Tulivyo bana....

sikjui kwa nini wanaowashangaa wenzao kutokuamini kwamba Balali kafa wasijishangae kuamini kwao kwamba balali kafa,kwani kati ya wale wanaoamini na wale wasioamini wote hakuna hata mmoja aliyekuwepo wakati balali akifa au Akitoroshwa (?) sasa wengine kwa nini wawalazimshe wengine kuamini kwamba Balali kafa? Binafsi siamini!
 
Re: Hatimaye Nime-Confirm Kuwa Balali Amefariki!(HAPANA UKWELI HAPA)

--------------------------------------------------------------------------------

Sisi ngozi nyeusi tuna matatizo sana.

Hivi hamjiulizi hata maswali kwa nini akimbilie kuzikwa nchi za watu wengine tena eti na sikia kwa kuchomwa moto!

Turudi nyuma kidogo kwenye mali ya uma (EPA) walisema wakidhibitishwa wezi (mafisadi ) walioiba watachukuliwa hatua ikiwa pamoja na kufikishwa mahakamani sasa tangu Fedha zirudishwe sijasikia mtu aliyepandishwa mahakamani mpaka dakika hii alafu tena walivyokosa haya wanatangaza kuwa Fedha za EPA zimerudishwa BOT.

Na hisi huyu Mh. Kisura naye anajifunga kwa kuruhusu watu kutangazia uma mambo kama hayo wakati hayana ukweli wowote.

Namkumbuka sana Baba wa taifa alisema Mtoto mdogo ukimpa uhuru utakula asara sasa Chama tawara wamejiachia sana kiasi kwamba wanaumbuana wenyewe kwa wenyewe sometimes nasema bora kafa ili uma utambue ufisadi mkubwa unaofanywa na Chama (Kioo cha jamii)

Sikatai wote sisi ni mafisadi wadogo lkn hata Mzazi anapomwona mtoto anadokoa anamkomesha na anaacha, wabishi ndio wanaoendelea na sisi tunahaki ya kuwafundisha tukiwa kama Wazazi au Kioo kwao sisi ni binadamu sio malaika na ili ufanikishe lazima ukubari kuambiwa ukweli ndio utarekebishika.

Kweli siamini kuwa Bilali amefariki kwa sababu Fedha ni kisima Jeuri, so anaweza akatumia Fedha kubadilisha SURA, JINA , (Akajibadilisha ) alafu sisi huku tukatangaziwa kuwa Amefariki dunia ilimladi tu kupoteza ushahidi.

Kweli nitaamini tu pale nitakapoiona maiti yake kwa macho yangu na nitakwenda kwa gharama yoyote mkoani kwake Iringa kumwaga ndio nitaamini kuwa Balali amefariki Kweli kweli.

Samahani wapenzi kwa kuwa rudisha nyuma lakini ni lazima muwe na Msimamo.


kwanza siamini tatizo ni uafrika wetu kwani hata wazungu nao wanaamini mambo ya kijinga kabisa tena wakati mwingine hata sisi tunawashangaa. Ni wazungu tena wamarekani walioamini kwamba Saddam hussein anamiliki silaha za maangamizi na si watu weusi, kuamini visivyoaminika ni ujinga wa kibinadamu tu wala hauji kwa rangi ya ngozi ya mtu.

mimi siamini kama balali amekufa kutokana na mfuatano wa matukio yenye kutia shaka. kwanza tuliambiwa kwamba Balali kafia Bosto nyumbani kwa Mkewe na atazikwa huko,leo habari imegeuka

Hapa Mkono mtuhumiwa mkubwa wa ufanikishaji wa ufisadi Benki kuu eti ndiye alipata muda wa masaa 24 wa kuteta na "marehemu" lakini mimi napenda sana kuongea,lakini kwa masaa 24 mfululizo,siwezi!

pili kama wengesema Balali anazikwa basi watanzania wengetaka kujua kaburi lake liko wapi,kwa hiyo wamekuja na hoja ya kuchoma moto mwili wake utadhani Balalli alikuwa Baniani!

walipogundua watu watauliza mbona serikali haiendi kuhudhuria mazishi ya Balali,wazee wakaibuka na hoja kwamba mke wake ambaye pia ni Mtuhumiwa wa ubadhirifu na ifisadi BOT akadai kwamba mazishi ni ya kifamilia. Tena ni ya kifamilia siyo ya Kiukoo hadi wazazi hawaruhusiwi!

wanajua ndugu wakiwa wengi si watataka kuuona mwili wa marehemu kabla ya kuzikwa (kuchomwa?) na wao mbona hawana mwili wa marehemu watawaonyesha nini?
 
Carlos The Jackal alijificha dhidi ya wamarekani kwa miaka mingapi au nani anajua alipo Osama Bin Laden. sasa wanaoshangaaa kuambiwa kwamba Balali hakufa bali kafichwa wanaishi kwenye dunia ipi?
 
Mkuu,

Kama huna data za Jamal basi uliza. Huyo mtu alikuwa mzalendo wa TZ, akalitumikia taifa, baadaye akatelekezwa kama akina Apiyo.

Ndugu zake wakaamua kumchukua na kwenda kuishi naye Canada. Alipofariki wakaona azikwe huko huko ili angalau waendelee kulihudumia kaburi lake.

Pia kuna mama yule secretary wa mwalimu, baada ya elimu yake ya maana Oxford, akaacha uongozi kwenye Labour party kuja kumsaidia mwalimu. Alipozeeka ikabidi arudi UK kuja kufaidi matunda ya NHS maana vinginevyo TZ angeshindwa hata kulipia huduma bora ya afya.

Je utawalinganisha watu kama hao na Balali?[/
QU


ASANTE KWA KUNIPA MWANGA HUU. KWA KWELI HUWEZI KUWALINGANISHA. HAWA WALIKUWA WATUMISHI WALIOTUKUKA. LAKINI BADO SIKUBALIANI NA KUAJIRI WATU WASIO RAIA KATIKA POST NYETI KAMA YA UGAVANA KATIKA KARNE HII TULIYONAYO. SIKUBALI NA SINTAKUBALI
 
Utata ni hapo!! Kwanini ndugu hawataki mwili wa marehemu unekane ili watu waondowe utata, kama wanazika gogo je tutaamini vipi. Wapige picha walau zirushwe kwenye mtandao na meadia mbalimbali vinginevyo ni ngumu IMEKAA VIBAYA
 
Mkuu ES,

Tumekusikia ila naona wengine macho yetu sasa mpaka yameziba kabisa maana michanga tunayorushiwa imezidi kiasi.

Sasa kama jamaa alikuwa na afya njema, je imekuwaje akafa ghafla? Je kajinyonga? Mtu wa Iringa huyo, huwa hawakawii kujitundika.

Sasa Fisadi kweli atamwachia data fisadi?

Nafikiri Ballali alikuwa ni hatari kwa muungwana kuliko Mkapa, maana waliofanya aumbuke ni akina JK na wala sio Mkapa.

YOU ARE RIGHT MY FRIEND, HATA KAMA BALALI KAFA LAKINI THE INFORMATION IS UNWARANTED, WE ARE NOT FOOLS HERE ARE SOME OF THE THINGS I HAVE NOTED.

1. THE PERSON DIES AT HOME. JUSTIFICATION TO AVOID CONFIRMATION OF DEATH AT THE HOSPITAL INCASE A THIRD PARTY WANTS TO VERIFY.

2. THE BODY IS NOT BROUGHT TO TANZANIA. - TRADITIONAL THE BODY WOULD BE VIEWED BY EVERYONE AND IN TZ THERE IS NO INVITATION TO A FUNERAL.

3. BODY VIEWING IS RESTRICT TO CLOSE FRIENDS AND FAMILY- THIS DOESNT SOUND GOOD.

4. TO MY KNOWLEDGE NO MAJOR NEWPAPER IN USA HAS PUBLISHED A SORRY ABOUT THE DEATH AND THE CONTROVERSY (KAMA GAZETI LIPO JAMANI TUAMBIENI). -IS IT THAT TANZANIA IS NOT A WELL KNOW COUNTRY IN WORLD AMA NI NINI.

MANY THINGS HERE ARE RIGHT, MIMI SIAMINI KABISA KABISA NA KABISA
 
Jamani nisaidieni mwenzenu.mi napata tu kizunguzungu na huu msiba wa huyu jamaa.sasa kama msiba upo usa mbona kuna mtu aliyeko tz kanitumia sms anasema kwa mama yake boko ndiko walipokusanyika watu na polisi kibao.Na amesema ukienda hapo kwanza unahijiwa na polisi umetoka wapi wewe ni nani na una uhusiano gani na marehemu.jamani tusaidieni mliopo home kama ni kweli maana mi sijawahi ona msiba wa hivi tanzania yetu ya watu kuhojiwa kwanza.hapa kuna jambo wana jamiiforums
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom