Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 12,187
- 17,608
JPM akiyaona hayo majina huwa anazimiaKuna Eric na Clevary..
Ila umenifanya niyasome majina hasahasa surname.. Naona Massae, Mmary, Mushi, Msuya, Mbaga and the likes.. Majina ya kulekule
JPM akiyaona hayo majina huwa anazimiaKuna Eric na Clevary..
Ila umenifanya niyasome majina hasahasa surname.. Naona Massae, Mmary, Mushi, Msuya, Mbaga and the likes.. Majina ya kulekule
Utakapokutana nao hutocheka tena madam utamhurumia tuEti genius nimecheka sana

Hapa hapa tunachangiaSisi ambao hatujawahi kwenda shule kabisa tunacomment wap
Ni mtanzania haswa; haya maneno mawili DAB na lingine Lodi lofa huwa natafuta sana maana zake ila nashindwa.Wewe ni mtanzania au sio mtanzania?
Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda mkuu wa mkoa wa Dar es SalaamNi mtanzania haswa; haya maneno mawili DAB na lingine Lodi lofa huwa natafuta sana maana zake ila nashindwa.
Kumbe! Ok ahsante sana.Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam
Hongera zake,ila shahada ya awali maana yake nini?Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala baada ya kukomaa kwa muda mrefu na Elimu ya Juu afanikiwa kumaliza shahada ya awali ya Sheria ya Chuo Kikuu Dar es Salaam.
HONGERA SANA MKUU View attachment 937263
Wew una viwanda vingapi hadi sasa?angewekeza mda huo katika ujasiriamali pengine leo hii angekuwa na viwanda kadhaa vya usindikaji na angetoa ajira kwa makumi ya vijana.
shida yetu watz tunaamini sana katika kusoma ili siku moja uje kuwa promoted kazini au uje upate teuzi fulani za kisiasa.
ndio maana PHD nyingi za watz ni useless.
Wazito kinyama afu wanavaa suruali pana za kitambaa na sendo zenye soli nenevyoyote itakavyokuwa, ila mimi kwa upande wangu watu wanaopenda sana kupoteza mda mwingi vyuoni kujiendeleza kielimu huwa nawachukulia kama wana matatizo fulani ya kisaikolojia. hawapo sawa wale. we wachunguze vizuri utabaini kitu.
Utakapokutana nao hutocheka tena madam utamhurumia tu![]()
Sasa mkuu unakuja kusema sema huku nyuma si ukwende hapo mbele hapo kwenye replay yake umwambie?Mtoto wa kiume kupigana mikwara na girl ni ushamba wa hali ya juu.
Mwanamke anabembelezwa au anakaushiwa,sio mikwara mikwara...Shubaaamit
Kuna jamaa mmoja namfahamu mpaka anamaliza kidato cha nne hakuwahi kujua zile hesabu za decimals yan yeye kila akifundishwa anaulizia tu ile point au nukta ya kati inayotenga namba namba inafuata nini pale kwanini isitolewe na bado alikuwa kidogo zimo zimo kichwani vilaza Wengine nitakuelezea siku nyingineEmbu nipe stori ya kilaza mmoja nimuonee huruma.
Dah...utajuaje...labda alipewa kazi "maalum" pale UdsmSijaelewa! 15 years?
