Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM

Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM

Yaani ndivo walivo hao, kuna mmoja chuo walimu walimchoka eti alijichelewesha chumba cha mtihani tunakaribia kumaliza ndo anaingia mkuu wa idara akakasirika sana akamchukua hadi utawala akampa mtihani kwa nguvu aufanye kwa hasira akamuambia mwaka huu hadi umalize.

Umenikumbusha chuo kuna mkaka tangu naanza chuo hadi namaliza katika kipindi cha miaka mitatu yeye kila mwaka anarudia..ukimuona kama tahaira. ..anajichekesha ovyoovyo..anaweza kuwakuta mnasoma anawaimbia mabata madogomadogo

Ila yote Tisa alikua anakuja kuchukuliwa na ndinga la maana na kufunguliwa mlango kiunyenyekevu mno

Wengine walikua wanasema anajifanyisha..wengine waliokua wanamjua wanasema amesoma sana south na ana Elimu kubwa cha kushangaza pale chuo kila mwaka mrudiaji

Hadi namaliza chuo sikumuelewa yule mkaka vizuri
 
Yaani ndivo walivo hao, kuna mmoja chuo walimu walimchoka eti alijichelewesha chumba cha mtihani tunakaribia kumaliza ndo anaingia mkuu wa idara akakasirika sana akamchukua hadi utawala akampa mtihani kwa nguvu aufanye kwa hasira akamuambia mwaka huu hadi umalize.
Na ndio wakwetu aliambiwa vivyohivyo...ila nilikua namkubali kwenye kununulia watu chakula kipande cha canteen
 
angewekeza mda huo katika ujasiriamali pengine leo hii angekuwa na viwanda kadhaa vya usindikaji na angetoa ajira kwa makumi ya vijana.

shida yetu watz tunaamini sana katika kusoma ili siku moja uje kuwa promoted kazini au uje upate teuzi fulani za kisiasa.

ndio maana PHD nyingi za watz ni useless.
Wewe una viwanda vingapi?.
 
mimi nikajua alishamaliza longtemps,first degree kwa miaka 15,mweh kazi ipo.Hongera sana kwake kwa kumaliza.
 
Ila kuna wengine vilaza kweli mdada naanza chuo yuko mwaka wa 3 hapo amerudia mara moja na kupostpone mwaka mmoja nakaa naye rum moja hostel nimeanza mpaka namkuta mwaka wa 3 tupo course moja nikamburutaburuta kumchanganya mpaka akamaliza.
Piga mahesabu gamba kalisotea miaka mingapi?

Na ndio wakwetu aliambiwa vivyohivyo...ila nilikua namkubali kwenye kununulia watu chakula kipande cha canteen
Kuna sehemu nimequote angalia notifications zako ninasubiri kwa hamu unijibu
 
Ila kuna wengine vilaza kweli mdada naanza chuo yuko mwaka wa 3 hapo amerudia mara moja na kupostpone mwaka mmoja nakaa naye rum moja hostel nimeanza mpaka namkuta mwaka wa 3 tupo course moja nikamburutaburuta kumchanganya mpaka akamaliza.
Piga mahesabu gamba kalisotea miaka mingapi?


Kuna sehemu nimequote angalia notifications zako ninasubiri kwa hamu unijibu
Kuna watu vilaza tena huyo wa kwako mbona alikuwa genius kabisa
 
Back
Top Bottom