amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Unakosea, na haitotokea huyu jamaa ana matatizo yake miaka 6 sasa zikimpanda anacharuka zinatulia anacharuka tena nimeshamzoea na kumdharau.Mkuu tunatofautiana mbinu za kutongoza.. Hapo waachie wenyewe kesho huyo wakike anaweza kuanzisha mada na kusema "Ilove u more ......"Wanapoelekea tumeshapajua tunabaki kucheka Hihihihi
%.