Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM

Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM

Mkuu tunatofautiana mbinu za kutongoza.. Hapo waachie wenyewe kesho huyo wakike anaweza kuanzisha mada na kusema "Ilove u more ......"Wanapoelekea tumeshapajua tunabaki kucheka Hihihihi
Unakosea, na haitotokea huyu jamaa ana matatizo yake miaka 6 sasa zikimpanda anacharuka zinatulia anacharuka tena nimeshamzoea na kumdharau.
 
Hizo nguvu zitumie kubadilisha sofa za pale kwenu.. Sofa kuu kuu zilizochanika chanika sio kugombana na wanawake humu..

Nimecheka sana ulivyokuwa mnamnanga Msando kana kwamba unafikia level zake. Kumbe we ni hoe hae tu unashindia kupanda Bajaj na uber ukirudi bongo teh teh teh..

Piga picha hizo streets za ATL unakofanya kazi za kutunza vikongwe teh teh
 
Nakumbuka kwenye semina fulani, Paschal alisema kwamba alipenda sana kusoma Sheria lakini kwa wakati ule alishindwa kwasababu alikosa vigezo akiwa mhitimu wa shule ya vipaji maalum Ilboru.

Ilimbidi asome shahada ya masuala ya habari UDSM. Baada ya kuhitimu aliingia mtaani mishemishe hadi Ulaya huko na kujiendeleza kielemu pia.

Badae aliamua kufuata ndoto yake na kusomea sheria hapo UDSM na kuhitimu.

Mnaoponda sijui kilaza,mara anataka apande cheo na uongo mwingi nadhani mnamkosea sana.

Paschal ni wa kishua anayeishi ndoto yake
 
Mbona majina ya katikati ya wenzake wote ni ya kike...!
Inamaana ktk darasa lake hilo yeye tu ndie wakiume...!
Kuna Eric na Clevary..

Ila umenifanya niyasome majina hasahasa surname.. Naona Massae, Mmary, Mushi, Msuya, Mbaga and the likes.. Majina ya kulekule
 
Akina pascal mayala wapo wengi, nakumbuka A -level nilisoma na jamaa mmoja alikuwa anaitwa pascal mayala, vile vile huku usukumani hiyo combination ni very common ’
Mimi naitwa Steve mayala mtoto Wa shangaz Yangu anaitwa pascal mayala wala siyo huyu Wa humu jf haya majina usukaman ni meng sana
 
inaonekana unamahaba sana ya kutaka kunifahamu vizuri mimi ni nani.

njoo PM, utanifahamu vizuri na pengine naweza nikakuajiri.

Kadoda11 Kaka naomba hiyo neema ya ajira ya dharura kwa ndg. Zipompa unimulikie na mimi..!

I humbly submit.😁
 
Wakati nasoma kuna mdada nlimburutaburuta mpaka akagraduate alikuwa na miaka 4 anasotea degree yake alishakata tamaa, kuna wengine wapo chuoni wao kila mwaka wanarudia wanahairisha kwa sababu za hovyo hovyo tetesi wakawa wanasema wapo vyuoni kwa kazi maalum wakimaliza kazi yao watagraduate huenda Paskali huyu mmojawapo.
Umenikumbusha chuo kuna mkaka tangu naanza chuo hadi namaliza katika kipindi cha miaka mitatu yeye kila mwaka anarudia..ukimuona kama tahaira. ..anajichekesha ovyoovyo..anaweza kuwakuta mnasoma anawaimbia mabata madogomadogo

Ila yote Tisa alikua anakuja kuchukuliwa na ndinga la maana na kufunguliwa mlango kiunyenyekevu mno

Wengine walikua wanasema anajifanyisha..wengine waliokua wanamjua wanasema amesoma sana south na ana Elimu kubwa cha kushangaza pale chuo kila mwaka mrudiaji

Hadi namaliza chuo sikumuelewa yule mkaka vizuri
 
Yaani ndivo walivo hao, kuna mmoja chuo walimu walimchoka eti alijichelewesha chumba cha mtihani tunakaribia kumaliza ndo anaingia mkuu wa idara akakasirika sana akamchukua hadi utawala akampa mtihani kwa nguvu aufanye kwa hasira akamuambia mwaka huu hadi umalize.

Umenikumbusha chuo kuna mkaka tangu naanza chuo hadi namaliza katika kipindi cha miaka mitatu yeye kila mwaka anarudia..ukimuona kama tahaira. ..anajichekesha ovyoovyo..anaweza kuwakuta mnasoma anawaimbia mabata madogomadogo

Ila yote Tisa alikua anakuja kuchukuliwa na ndinga la maana na kufunguliwa mlango kiunyenyekevu mno

Wengine walikua wanasema anajifanyisha..wengine waliokua wanamjua wanasema amesoma sana south na ana Elimu kubwa cha kushangaza pale chuo kila mwaka mrudiaji

Hadi namaliza chuo sikumuelewa yule mkaka vizuri
 
Back
Top Bottom