Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM

Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM

Ukitaka kutufahamu wa TZ wa JF soma uzi huu kwa umakini. Kwanza nimpe mhitimu hongera bila kujali imechukua miaka mingapi, bila kujali kama ni TISS au siyo. Hongera Pasco, hiyo registration number kwangu inaonyesha mtu amekomalia akipendacho. Lakini pia kwa wajuao mifumo yetu ya elimu ya juuni wazi huwezi ukawa mwanafunzi kwa miaka 15 watakufuta tu. Degree zote za kwanza zina muda wa kumaliza. Hapa ajuae kwa nini Reg. No. yake ni hiyo yenye .......T 2003 ni mhusika na chuo husika tu wengine tunamwaga povu tu. Lingine mhitimu wa sheria kumuita kilaza ni kitu cha ajabu sana. Hakuna haja ya kutukanana, elimu ni ufunguo wa maisha kwa nchi yeyote ile. Haina maana kufanikiwa lazima uwe na elimu kubwa la hasha, lakini taifa kufanikiwa linahitaji elimu na waliosoma.
 
Hahahah imenilazimu kurudi kucheck comment yako huenda nimekosea kukujibu....ni wewe umeandika huu utumbo
"
Nakuunga mkono 100%
That is what enlightment means!I'm very pathetic to live in this time where most of us(Tanzanians) believe on Education to have better sustainable life.Bookish oriented
"

100% bado uelewa wako mdogo sana.
Sasa nimeipinga elimu?
Iyo ni conditioned statement
"To have better sustained life"
That is to say without employment one cant live
Well trained vs well educated.
Ukiweza kutofautisha hapo basi have a good day boss.I'm out
 
Bila kujali ni Pascal Mayalla huyu huyu kaka yangu wa JF au ni mwingine, hongera zake.

Ningeomba tu tujifunze kuchukua muda kutafakari jambo kabla ya kuandika, hasa inapokuja mambo binafsi. Naelewa kuna utani na mambo yasiyo na umuhimu unaweza kuandika jambo kwa kufurahisha watu.

Kwa wale wanaobeza na kuona kwamba Pascal huyu wa JF kafanya hivyo kwa juhudi kubwa ili kusaka ajira au kupandishwa cheo nafikiri hawamfaham.

Lakini pia wanauelewa mdogo kuhusu maana na dhana nzima ya elimu.
 
Bila kujali ni Pascal Mayalla huyu huyu kaka yangu wa JF au ni mwingine, hongera zake.

Ningeomba tu tujifunze kuchukua muda kutafakari jambo kabla ya kuandika, hasa inapokuja mambo binafsi. Naelewa kuna utani na mambo yasiyo na umuhimu unaweza kuandika jambo kwa kufurahisha watu.

Kwa wale anaobeza na kuona kwamba Pascal huyu wa JF kafanya hivyo kwa juhudi kubwa ili kusaka ajira au kupandishwa cheo nafikiri hawamfaham.

Lakini pia wanauelewa mdogo kuhusu maana na dhana nzima ya elimu.
Kama kuna watu waliopo serious humu kwenye huu uzi labda ni 5% tu mkuu.

Hapa nadhani wengi wana mtroll tu mkuu Pascal na sio kwamba hawamfahamu.

Kwanza huyu anaitwa Pascal Mayalla na sio Pascal Mayala.
 
Wakati nasoma kuna mdada nlimburutaburuta mpaka akagraduate alikuwa na miaka 4 anasotea degree yake alishakata tamaa, kuna wengine wapo chuoni wao kila mwaka wanarudia wanahairisha kwa sababu za hovyo hovyo tetesi wakawa wanasema wapo vyuoni kwa kazi maalum wakimaliza kazi yao watagraduate huenda Paskali huyu mmojawapo.
Inawezekana! Mi nlisoma na jamaa.... mpk mimi nakutana nae chuoni, tayari alishadisco SUA, Mzumbe... na nikiwa nae chuo... nikambakisha 1st year wakati tunaingia 2nd year.... na siamini kama yule jamaaa ni boya kiasi hicho.... !
 
Back
Top Bottom