Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM

Hatimaye ndugu yetu Pascal Mayala amehitimu UDSM

Hizo nguvu zitumie kubadilisha sofa za pale kwenu.. Sofa kuu kuu zilizochanika chanika sio kugombana na wanawake humu..

Nimecheka sana ulivyokuwa mnamnanga Msando kana kwamba unafikia level zake. Kumbe we ni hoe hae tu unashindia kupanda Bajaj na uber ukirudi bongo teh teh teh..

Piga picha hizo streets za ATL unakofanya kazi za kutunza vikongwe teh teh
Eeeeh jumapili yangu naona inaenda Murua kabisa .
 
Eeeeh jumapili yangu naona inaenda Murua kabisa .
Jamaa depression itamuua.

Unaambiwa "Utafanikiwa kudanganya kwa muda fulani, lakini huwezi kudanganya wakati wote."

Jamaa alijitia billionea humu, akawa anapost bank statement ana US $ 4m. Hahahaha kumbe jamaa ni hoe hae fix fix nyingi tu. Akirudi bongo anafikia kwenye kijumba kibovu cha mamake pale Mbezi Shule, wakipika dagaa nyumbani anakimbilia kula kwenye vibanda vya chipsi teh teh teh.. Jamaa bongo hata kiwanja hana..
 
Jamaa depression itamuua.

Unaambiwa "Utafanikiwa kudanganya kwa muda fulani, lakini huwezi kudanganya wakati wote."

Jamaa alijitia billionea humu, akawa anapost bank statement ana US $ 4m. Hahahaha kumbe jamaa ni hoe hae fix fix nyingi tu. Akirudi bongo anafikia kwenye kijumba kibovu cha mamake pale Mbezi Shule, wakipika dagaa nyumbani anakimbilia kula kwenye vibanda vya chipsi teh teh teh.. Jamaa bongo hata kiwanja hana..
Mkuu unajua mengi. Kwani ni verified member ?

Umejuaje anapokaa ni Mbezi ?
 
Ngabu unachotaka wewe ni kutukanana kiukweli naishia hapa hujanipata miaka 6 nyuma hutonipata.

Utaendelea kuniona hapa hapa ili uumie zaidi na uppumbavu wako uonekane.

Mimi wasukuma nawaheshimu sana unaona hata naandika kwa upole hapa tofauti na nyuma, nakuona kama shemeji yangu nikikutukana nimewatukana shemeji zangu.

Ila kunipiga huwezi, kwa matusi hunipati hapa umejificha nyuma ya keyboard unajifurahisha endelea.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
angewekeza mda huo katika ujasiriamali pengine leo hii angekuwa na viwanda kadhaa vya usindikaji na angetoa ajira kwa makumi ya vijana.

shida yetu watz tunaamini sana katika kusoma ili siku moja uje kuwa promoted kazini au uje upate teuzi fulani za kisiasa.

ndio maana PHD nyingi za watz ni useless.
Wewe una viwanda vingapi mkuu
 
angewekeza mda huo katika ujasiriamali pengine leo hii angekuwa na viwanda kadhaa vya usindikaji na angetoa ajira kwa makumi ya vijana.

shida yetu watz tunaamini sana katika kusoma ili siku moja uje kuwa promoted kazini au uje upate teuzi fulani za kisiasa.

ndio maana PHD nyingi za watz ni useless.
Waliowekeza mwaka huo wanaviwanda?
 
sijadharau elimu,naiheshimu sana.
shida yangu ni kupoteza miaka mingi kutafuta hiyo elimu.

imagine jamaa tunayemjadili hapa kapoteza takribani miaka 15 (2003-2018) kutafuta shahada moja.

kwangu mimi huko si kutafuta elimu, ni kutafuta ujinga. pardon my french.
Kwa uelewa wako tangu mwaka huo anasoma tu hafanyi kazi?
 
angewekeza mda huo katika ujasiriamali pengine leo hii angekuwa na viwanda kadhaa vya usindikaji na angetoa ajira kwa makumi ya vijana.

shida yetu watz tunaamini sana katika kusoma ili siku moja uje kuwa promoted kazini au uje upate teuzi fulani za kisiasa.

ndio maana PHD nyingi za watz ni useless.
Hii ndio comment Bora ya 2019

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee tangu 2003? Amekomaa sio mchezo yaani hata UDSM ilikua haijabadilisha mfumo wa registration numbers

Hongera Pascal japo umechomoka kwa mbinde kweli kweli, jipange uende law school sasa

Itakuwa ushauri wako kautendea kazi
 
Back
Top Bottom