Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,084
Mfano huo mchepuko wa mke, shemeji zako, rafiki zako, jirani zako wakijua mkeo anachepuka unadhani utaheshimika? na Vise versa
[emoji23][emoji23][emoji23]Kabla hujamuacha mfanyie bonge la drama, kwanza rafuta mtu, mchepuko, lala huko chat nao full time uone anaumia ama?
Lakini vyovyote iwavyo huyo mwanamke achana nae maana hawezi acha huo mchezo hata akikuomba msamaha.
Hata hivyo mmeishi miaka mingi, miaka mitano yote wakati kuna wengine hawajaolewa kabisa? Mwache tu mkuu
Tatizo vijana wakichepuka wanajisahau,wanaanza dharau kwa aliyeko ndani ...ndomaana na wamama wamechangamka vilivyo kwenye uchepukajiPole sana mkuuu, vumilia hiyo kitu ipo kwenye zaidi ya 95% ya ndoa zote.
[emoji41][emoji41][emoji41] Lakini mim huwa najiuliza, kama mwanaume nguvu unazo, uwezo kidogo unao, unaakili timamu, sasa unaachaje kuchepukaaa?, chepuka kwa akili ila muheshimu mke wako.
[emoji23]alaf anakua ametatua tatizo lipi?Tafuta wahuni wako wa 4,ukimnasa watu wanamfokoa acha kulia Lia Kama mtoto wa kike
Ukiona hivyo ni chaiKwa hiyo ndio umejoin leo ili uanzishe huu uzi?
Situbugu mkuu maana hajahalalishwaa kuwa mke wa mtuKwa hiyo ukinyanduana na mwanamke asiye mke wa mtu, huwa hautubu [emoji16]
Situbugu mkuu maana hajahalalishwaa kuwa mke wa mtu
Mkuu wakwangu bd ajazaliwaa ndio mama mkwe wangu anaolewaa JanuaryZote dhambi tu mkuu, unatakiwa unyanduane na aliyehalalishwa kuwa wa kwako [emoji16]
Copy thatMan Down!
Mkuu wakwangu bd ajazaliwaa ndio mama mkwe wangu anaolewaa January
Hizi ni kauli za hovyo sana...Wewe mkeo humsugui vya kutosha ngoja jamaa akunyoshee, mwanamke unampiga mashine kwa huruma sasa ngoja baharia akuoneshe ila nakushauri mtafute mke wa jamaa kula mashine na wewe utulie akija mumewe akigundua atakuheshimu kwasasa hakuna heshima hapo na wataendelea kulana
Haya wewe ukioa utakuja kunikumbuka kwa hicho nilichoandikaHizi ni kauli za hovyo sana...
Yaani kwani kukubali kuwa mwanamke amezingua haitoshi,? ,, hadi mtafute fault kwa mwanaume..
Siku hizi hata ukimfumania demu utasikia ooh ulikuwa humkazi vizuri,, mara humpi hela,, mara hujaishi nae kwa akili na vitu vingi vya hovyo... Instead ya kukubali kuwa Mke wa fulani kazingua...
Mtu akikosea akubali kosa,,, na sio kutafuta visababu vya kuhalalisha ujinga alofanya....
We nae hovyo tu,, hadi siku mkeo aliwe ndio utaelewa kuwa tatizo sio kumsugua vya kutosha..
Wajenge familia gani wakati jamaa kashakula kona,huyo mwanamke imekula kwake.Yaani jambo dogo hilo ndio umekuja kulia lia huku!! Hebu tulia na mkeo huko mjenge familia yenu.
Aache kujidekeza huko, arudi kwa mkewe.Wajenge familia gani wakati jamaa kashakula kona,huyo mwanamke imekula kwake.
This is how it supposed to be..Mimi tayari nimeshamwambia yaani siku nikigundua unafanya mautumbo sijui maini nafunga biashara. Sina ubia na biashara kichaa!! Sijali kama tumezaa wala nini napiga chini.
Na asihangaike sirogeki(limbwata)!
Arudi kwa mbunye iliyosuguliwa na kumwagiwa mananii na mwanaume mwengine..!!!Aache kujidekeza huko, arudi kwa mkewe.