</p>waswahili tunasema utabaki na labda. CDM kuiona ikulu bado ni ndogo ya zuzu.
VipI, chawa wa central msha mbanduwa?
</p>Kweli nimeanin watu wana mahaba na ccm.
hiyo ni kazi ya lowassa, tena walimvika na uchifu kabisaWanadanganywa, wanadanganyika. ndio maana mara mgogoro uvccm na imara wanatumiwa na cdm kuvuruga amani.
kwani kabila kubwa la wakazi wa Arusha ni wafugaji. kabila hili ni wazi limekosa elimu kwa miaka mingi sasa. lkn siasa za tz sasa zimehamia huko. CDM yenye ngome kwa sasa. nadhani imefika wakati cdm wawe na mkakati imara wa kuwasomesha ndugu zetu waondokane na sisasa hizi
ndio uzaifu wao huo. mpaka cdm wanatumia nafasi hiyo
wanaongoza nchi kwa mazoea ya siasa za chama kimoja, sasa ndiyo matokeo yake haya - kujichanganya changanya kwa mihimili hii mitatu.
sasa hivi chadema ina support kubwa ya wananchi - na hii kamata kamata ndiyo inawamaliza CCM kabisa - "killing themselves softly"
unaposema wanatumiwa na CDM unaweza kuthibitisha?weka ushahidi hapa............suala la wamasai kukosa elimu si tatizo la wamasai tu ni la makabila mengi sana hapa nchini.matatizo ya kisiasa yaliyopo ya arusha hayana uhusiano na wamasai kutokuwa na elimu labda utoe ufafanuzi wa kina.Wanadanganywa, wanadanganyika. ndio maana mara mgogoro uvccm na imara wanatumiwa na cdm kuvuruga amani.
kwani kabila kubwa la wakazi wa Arusha ni wafugaji. kabila hili ni wazi limekosa elimu kwa miaka mingi sasa. lkn siasa za tz sasa zimehamia huko. CDM yenye ngome kwa sasa. nadhani imefika wakati cdm wawe na mkakati imara wa kuwasomesha ndugu zetu waondokane na sisasa hizi
Na nyie kijijini kwenu wamesoma?
VipI, chawa wa central msha mbanduwa?
Wanadanganywa, wanadanganyika. ndio maana mara mgogoro uvccm na imara wanatumiwa na cdm kuvuruga amani.
kwani kabila kubwa la wakazi wa Arusha ni wafugaji. kabila hili ni wazi limekosa elimu kwa miaka mingi sasa. lkn siasa za tz sasa zimehamia huko. CDM yenye ngome kwa sasa. nadhani imefika wakati cdm wawe na mkakati imara wa kuwasomesha ndugu zetu waondokane na sisasa hizi
wee unapimaje umaarufu,mbona alikua rumande sasa amepiganiaje hiyo haki,na kama ni hivyo kuwekwa rumande ndio umaarufu basi mch. mtikila ndie jembe zaidi kuliko yoyote tanzani.
limbwata hilo mkuu linafanya kazi !kweli nimeanin watu wana mahaba na ccm.
waswahili tunasema utabaki na labda. CDM kuiona ikulu bado ni ndogo ya zuzu.
Wanadanganywa, wanadanganyika. ndio maana mara mgogoro uvccm na imara wanatumiwa na cdm kuvuruga amani.
kwani kabila kubwa la wakazi wa Arusha ni wafugaji. kabila hili ni wazi limekosa elimu kwa miaka mingi sasa. lkn siasa za tz sasa zimehamia huko. CDM yenye ngome kwa sasa. nadhani imefika wakati cdm wawe na mkakati imara wa kuwasomesha ndugu zetu waondokane na sisasa hizi
Nilianza kumsikia kwa mbali alipochaguliwa kuwa mbunge Hai mwaka 2000
Alipata umaarufu zaidi alipochaguliwa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA (2004?)
Alipata umaarufu sana alipogombea uraisi mwaka 2005, zaidi kwa kuanzisha styles za helkopta na magwanda, ambazo ni maarufu hadi leo
Alikuja kuvuma tena sana wakati wa operesheni sangara.
Katika uchaguzi uliopita, hakuvuma sana (kwa sababu ya kuwepo Slaa katika uraisi?)
Alikuja kuvuma zaidi wakati wa kuundwa kwa kambi ya upinzani
Aliendelea kuwa midomoni mwa watanzania katika matukio tofauti kwa kiwango tofauti hadi Ijumaa tarehe 3 June 2011
Kwa siku tatu mfululizo Kuanzia Ijumaa jioni, hadi leo asubuhi, Freeman Aikaeli Mbowe amengeza mstari mwingine katika historia yake ya kupigania wanyonge Tanzania. Mstari ambao kwa wanaofuatilia vyombo vya habari na kusikiliza maoni ya watu ya kisiasa, bila shaka unastahili kuandikwa bolded zaidi, na kwa font kubwa zaidi, angalau kuliko mistari yote iliyowahi kuandikwa siku ya nyuma...
Heshima kwako Mimibaba.
Ndugu yangu Mwl wa Hesabu kwa viwango vya kimaitaifa soko la ajira la Afrika Mashariki liko wazi lakini sidhani kama unaweza kupata kazi Rwanda,kenya au Uganda kwasababu unachokitetea hakika ni sehemu ya upumbavu ninaotegemea kukutananao sokoni kwa wasukuma mkokote,wacheza bao au wapiga ramli.Nakushauri endelea kufundisha hesabu shule za kata.
We mjima kwelikweli, yaani unabisha kwamba FAM hajaongeza umaarufu kwa hizi siku tatu kwa vile alikuwa lumande. Fuatilia umaarufu wa Nelson Mandela ulipatikanaje kama si kwa sababu alifungwa na wazungu! We umeishia darasa la ngapi vile!?