Hatimaye Mbowe apewa dhamana


Mbona na uwingi wenu hamkwenda sasa kumsaidia pale Central Polisi alipokuwa amelazwa sakafuni ? FFU unaambiwa walikuwa 70 ila ni balaa, mlitishwa kidogo tu na maji ya kuwasha mkasambaa wote
 
If i may ask.. hivi naomba kujuzwa wanajamvi, sijajua Freeman kaachiwa kwa dhamana mpya au anaendelea na dhamana ya ile kesi ya zamani.. anayejua naomba kujuzwa tafadhali ili tuweze kuiangalia hii ishu kivingine
 
Viongozi wa CHADEMA kwa uelewa wao wa sheria na nafasi yao katika Nchi na jamii hawapaswi ku-behave hivi. Wanatukatisha tamaa.

Behave how? be clear please, you sound ambiguous.
 
Baada ya aibu wanachadema wanajitutumua!!kweli nimewakubali
 

Don't talk shit this is a serious forum! If doesn't suite you hit the freeways
 
acha kutisha watu wewe, katishie wanao na mkeo kwaqni kufa ninini ;
Nenda kaandamane tukufanye kitu kibaya ambacho utajutia hata wazazi wako kukuzaa ! si umeona wakina Mbowe, Lissu nk tulivyowafanya, bado wewe sasa . Na sio kwamba tunakutisha
 
HTML:

Hivi yale magari ya washawasha yako mangapi nchi nzima? maana ukiyalipua hayo, polisi hawana nguvu tena (just thinking twice)

Yapo kila Wilaya , na maji yake yanawasha balaa, ukimwagiwa yale maji hakuna la zaidi ya kukimbia tu. Na sio maji tu, jamaa wana silaha za kijeshi pia full masinonda kwa lolote. Hiyo ndio dola sasa
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Wakuu poleni na starehe za week end.

Wakuu ebu tuweke ushabiki pembeni tujadili hoja badala ya viroja nina maswali kadhaa naomba kujuzwa.

Kuna sababu gani za msingi zilizomfanya mwenyekiti wa CHADEMA asihudhurie mahakamani ?.Ni ubabe,dharau au ulimbukeni.Nasema hivyo kwasababu Mbowe,Dr Slaa,Lema na viongozi kadhaa wa CHADEMA wameshitakiwa kwenye mahakama hiyo hiyo na mashitaka hayo hayo ajabu iweje wenzake Dr Slaa na Lema watii na kuheshimu mahakama kwa Mbowe iwe tofauti !.Mheshimiwa Mbowe ni mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani [ukipenda chama mbadala],ni kiongozi mkuu wa upinzani.Chama kinachotarajiwa kuchukua dola lazima kionyeshe mfano bora wa kutii sheria na kufuata taratibu.jambo kama hili lingetokea nchi za wenzetu wenye kufuata misingi ya utawala bora hakika ingekuwa ni sababu tosha za kuachia madarakani ya uongozi ndani ya CHADEMA.


Mbowe ni sawa na waziri mkuu (kiongozi wa upinzani) ndani ya bunge kwa sababu hiyo kwanza kumkamata bila kufuata taratibu ilikuwa ni kosa kikatiba achilia mbali majukumu yake tuu kama mbunge. taratibu halali ilikuwa kuwazuia tu pale kwa muda na baadae kuomba kibali cha bunge kama kulikuwa na haja sana ya kuwakamata kwa makosa yale. Tuna mbunge ambae ameshiriki kuandaa mauaji ya Dr. Chageni na ametajwa na kuandikwa magazetini mbona bado hajakamatwa hadi sasa. Hiyo ndio ilitumika hata kwa Chenge. INAKUAWAJE DOUBLE STANDARDS. Nasema Baba wa bunge Samwel Sitta atoe somo ITV ijumaa hii ili mkosa shule Makinda ajifunze.Ameshindwa kulinda heshima ya Bunge na wabunge.
 
acha kutisha watu wewe, katishie wanao na mkeo kwaqni kufa ninini ;

Kufa nn, wewe mbona kwenye hayo maandamano huendi zaidi ya kuhamasisha kwenye keyboard tu ! na ww ndio waonyesha ni laini sana kuzidi hata nyanya ya masalo
 
Waaaaaaooohhh Peoplesssssss.................................. walipotoka kumshika Mbowe aibu kubwa na fedheha wameipata. Chakushangaza zaidi ni huyo spika amekua domo zege hata kuongea hawezi anachoona muhimu kwake ni kufunga njia afanye ujenzi wake
 
"Ili mtuhumiwa akamatwe sheria iko wazi, notisi zilitakiwa kutolewa kwa mdhamini wake na pia kwa wakili, lakini kwa Mbowe haikuwa hivyo na hiyo inaonyesha ni agizo kutoka mahali Fulani," alidai. Dr Slaa
 

Umekosea pa kulinganishia. Mbowe kadharau mahakama,ivi umesikia na Mandela alifungwa kwa kudharau mahakama? Chukua picha ya Mbowe na ya Mandela ziweke pamoja kisha waangalie usoni utaona utofauti wao katika hilo unaloshabikia
 
Amekaa jela Mandela hadi anazeeka ndo iwe Mbowe siku mbili... Acha hisia zako za kidini wewe
Hisisa za kidini unazo wewe mwenyewe. wewe unawataja wengine kukaa rumande je wewe mwenyewe ungependa ukakae rumande siku ngapi
Acha akili za ubwete, ivi kudharau mahakama ni udini? haya kama ni udini niambie ile mahakama ya arusha ni ya dini gani? acha uzuzu
 
Aibu ya Magamba!
Kamanda Mbowe pamoja sana na kesho kutwa mjengoni kama kawa!
Lakini kachunguze afya yako maana hawa Magamba ni mafia sana
 

What is destructing your thinking capacity Waberoya? I remember one time you were somehow wise...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…