Ridhiwan na Beno ni chanda na pete, damu damu!!! Ila atakuwa amepata ushindi maana wakati wa kampeni waziwazi alimtaka Benno ila Baba akataka apooze uzenji!!! Na baba alibariki kutumia upenyo wa umri kufikia ndoto za kijana wake!!! Lo umoja ni nguvu!!! Baba na mwana wana nguvu sana!! Bado tena mama mdogo naona anakuja kwa kasi!! Bado mama mkubwa any time akitaka kiti tena cha kuchagulia atakipata! Dogo naye Chipukizi, yaani familia yote!!! Ila dada Salama low political profile, anajitahidi sana! So culm our Dr.!!!
Mnashangaa ya Masauni? Je Mwilima yule aliyekuwa katibu wa CCM(WANAWAKE), Sasa yuko wapi ni mkuu wa wilaya na anatembelea VX V8. Huyo ndo JK bwana Mkwere halisi a.k.a King'ota(Ng'ong'ona) aliyewadanganya Mambayuwayu (wafanyakazi). Nchi hiiiii full Rose Muhando (NIBEBE).
Kaburunye said:Hata hivyo, Rais Kikwete alimfariji kijana huyo mpole na mzito kufanya maamuzi magumu na haraka, akisema kwakuwa ni makakamavu na mchapakazi atapangiwa kazi nyingine hapo baadaye. mwisho wa kunukuu (Source: Gazeti la mwananchi la leo 20 May 2010)
GS: Usiniambie ndio unagundua leo!? Pole sana
yaani wewe unadhani mtu mwongo ndio hana nafasi kwa CCM huyo ndio anawafaa zaidi,na ndio maana rais kakwambia atampangia kazi ingine.anajua pa kumuweka we ulie tu.yana mwisho haya:angry:
Then GS.....Nanukuu: Hata hivyo, Rais Kikwete alimfariji kijana huyo mpole na mzito kufanya maamuzi magumu na haraka, akisema kwakuwa ni makakamavu na mchapakazi atapangiwa kazi nyingine hapo baadaye. mwisho wa kunukuu (Source: Gazeti la mwananchi la leo 20 May 2010)
Kitila Mkumbo akaja.....Gender Sensitive said:Jamani,kwani mtu akikosea upande mmoja hawezi kufanya upande mwingine?Mimi sioni tatizo kama atapewa majukumu mengine lakini sio ya vijana...
GS: Usiniambie ndio unagundua leo!? Pole sana
Kwahiyo chadema mtafanya the same?
"...
Amesema hafurahishwi na njama chafu zinazofanywa na baadhi ya vijana ndani ya CCM kwa kuendesha makundi ya kuwachafua wenzao na kuchochea fujo ndani ya umoja huo, na kuwa kamwe wenye tabia kama hiyo hawatavumiliwa na wasitegemee kupata nafasi za uongozi daima hata kama watagombea.
Nasema Umoja wa Vijana ni tegemeo kubwa kwa CCM, hivyo vijana wagomvi tokeni wenyewe...nasema acheni kabisa vijana kuishi maisha ya kujengeana chuki na kuendesha makundi ya kuwangoa wenzenu kupitia vyombo vya habari.
Ni vizuri penye tatizo kutumia vikao, kulumbana na kumalizana ndani ya vikao badala ya kuita waandishi na kueneza chuki, alisema Rais Kikwete. (Source: Tanzania daima, 20 May 2010)
Ninaposoma sehemu hii ya hotuba ya Mwenye Enzi, napata shida, naona ihitimisho la hoja niliyowahi kuisikia hapo nyuma kuwa mheshimiwa ana michiririzi ya udikteta katika damu yake. Itawezekana vipi yeye kuzuia kijana asichaguliwe kama akigombea nafasi! Isije ikawa ni kweli kwamba demokrasia yetu imefungushiwa ndani ya mwanakondoo mwenye kuonekana mpole na mnyenyekevu kumbe sivyo
Wakina nani wana madhambi yepi?Can yu plz be a little more specific on dat?issue hii inahusu masuala ya chama,sasa ona unatapa tapa na kudai eti ooh ni msimamo binafsi,yes ni misimamo binafsi ya kina JK lakini si ya chama?Ama unaleta zile za Zitto na Dowans eti msimamo binafsi,misimamo yenu binafasi ita aafect maamuzi be it ya kichama ama Taifa...Duh!Mkuu huu ni mtazamo wangu na sio wa chama,tafadhali usiingize chama hapa...msipende sana kuhukumu wenzenu wakatyi hata nyie mnadhambi kibao,hebu kuweni wa kweli kidogo..
Mkuu nakubaliana na wewe. Lakini hatua ya kwanza apitie mchakato wa jinai na mahakama imsafishe (au imfunge) kwanza, haya yakiisha apewe hicho kibarua kingine.Jamani,kwani mtu akikosea upande mmoja hawezi kufanya upande mwingine?Mimi sioni tatizo kama atapewa majukumu mengine lakini sio ya vijana...
[/COLOR][/I]
Hakuna Mkuu. Na ndiyo sababu tunahitaji kubadili hali hii kwa bidii zote!
Mkuu,Kama tunashindwa kuwaadhibu kwa kalamu na karatasi(kura) kubeba machete ndiyo tutaweza.We have to reach rock bottom and possibly we start thinking like thai people.Hii nchi itaingia vitani,unless haya mambo mnayoyaleta humu ni uongo.
Ridhiwani: Huyu kijana napenda alivyo na misimamo yake lakini kwa kweli mwanzoni alipojiunga na hii uvccm nililaalama sana kwamba amewekwa kwa makusudi mule ndani baya zaidi yuko radhi kumwaga damu kama uko against na msalahi ya babake....
Hivi sasa ni wengi sana wataongea kuhusu kujiuzulu kwa masauni lakini ukweli utabaki RIDHIWANI akishirikiana na BENO MALISA walijitahidi kufanya uchafu na upumbavu wao huko iringa kwa garama zot ehata kuhonga wenyeviti wamtimue huyu bwana
hakika naweza kusema aikuwa kitu cha kushangaza kuona kikwete akisema masauni kajimaliza mwenyewe nasema hivi nikiwa na maana wangapi wenmye makosa kama yake bungeni kuna mawaziri vihiyo walioteuliwa na huyu huyu bwana kama si Bw msemakweli kutufungua macho sijui tungejuaje tuna mawaziri wabunge vihiyo....
Mh rais bado nasema masauni na wenzake walikubana vilivyo na mikataba yenu ya ul;aji wa kipuuzi UVCCM na swala la kumuondoa ni kutokana na kuwa kinyume na msalahi yenu kutaka kuuza ama kuangamiza kila kilicho mbele yenu
Ninachosema haki ya mtu aipotei tusubiri yapo mengi yanaibuka na yataendela kuibuka SIKUSHANGA KUSIKIA MAKAMBA AKISEMA MASAUNI AJIUZULKU ATTI KATUMWA NA DOLA. HUU NI UPUUZI NILISHASEMA HUYU BABU ATAJIBU DHAMBI ZA WENGI SAA NA NAMWONEA HURUMA NA UMSKINI WAKE....ANYWAY.....
INNALILAH NA MASWABRINA....KILA MWENYE KUSUBIRI YU PAMOJA NA MWENYEZI MUNGU
Natanguliza pole zangu kwa watakaopangiwa DC ambaye amedanganya kuhusu umri wake. Sijui atawadanganya mambo mangapi mengine hao atakaokabidhiwa dhamana ya kuwadanganya... no I mean kuwaongozaAtapangiwa kazi ya ukuu wa wilaya (DC) period.