ngome1838
JF-Expert Member
- Feb 20, 2019
- 2,029
- 2,471
๐๐๐๐๐Afadhali yameangukia baharini,nilikuwa napata shida sn muda wote kuvaa helmet ya pikipiki wakati sina hata bodaboda
๐๐๐๐๐Afadhali yameangukia baharini,nilikuwa napata shida sn muda wote kuvaa helmet ya pikipiki wakati sina hata bodaboda
Ndo hivyo, hata amerika wamepita njia hiyo hiyo!Ooh..kwa hiyo wanaanza mdogo mdogo au sio?
Kama mtoto anayetambaa
Ok ok Mkuu...Ndo hivyo, hata amerika wamepita njia hiyo hiyo!
Hahahha.... kila kitu ni imani.Na sisi tuko mbioni kurusha dude....kituo kule msitu bwawa la Nyerere..... JPM ni noma....
Jamaa tutamkumbuka sana.. Mama hata sielewi anachosimamia... Nimemshangaa jana anagawa gari, thamani ya kituo cha afya cha kata (450,000,000tsh) ilokamilika kabisa kwa kutumia force account.Hahahha.... kila kitu ni imani.
Nasikia mchopa wake jana ulifika GONZU within 11hrs.
Tatizo kubwa la Mayankee upenda penda sana waonekana ni relevant - mara ooh tutalipua roketi booster ya wachina juu kwa juu kabla haija dondoka Duniani, nani kawapa mamlaka NASA/USAF kulipuwa roketi za watu kama sio uwenda wazimu - Waundaji/wana sayansi wa roketi wa Uchina walisema tangu booster ilipopata patwa na tasiso la kuongozwa kwamba ikiingia kwenye atmosphere asilimia kubwa ya booster itauungua, vitabaki vipande vidogo ambavyo vita anguka kwenye bahari, na hilo ndilo limekuja kutokea - sasa hawa jamaa wa NASA waliokuwa wana danganya Dunia kwamba wanafatilia booster 24X7 hawajui hata kitu gani kilitokea mpaka sasa wako kimya kabisa - usanii mwanzo mwisho.Ni kweli kabisa.Tayari NASA wanailaumu China kwa kutokuwajibika,sasa huu si uhuni huu.
Wanaota Kuwa bado wao ndo wako peke yao kwenye space exploration programTatizo kubwa la Mayankee upenda penda sana waonekana ni relevant - mara ooh tutalipua roketi booster ya wachina juu kwa juu kabla haija dondoka Duniani, nani kawapa mamlaka NASA/USAF kulipuwa roketi za watu kama sio uwenda wazimu - Waundaji/wana sayansi wa roketi wa Uchina walisema tangu booster ilipopata patwa na tasiso la kuongozwa kwamba ikiingia kwenye atmosphere asilimia kubwa ya booster itauungua, vitabaki vipande vidogo ambavyo vita anguka kwenye bahari, na hilo ndilo limekuja kutokea - sasa hawa jamaa wa NASA waliokuwa wana danganya Dunia kwamba wanafatilia booster 24X7 hawajui hata kitu gani kilitokea mpaka sasa wako kimya kabisa - usanii mwanzo mwisho.
Tofautisha Kati ya kutua na kuanguka. US ndo abaki hoi?Mabaki ya roketi ya China yametua kwenye bahari ya hindi magharibi mwa nchi ya Maldivies pasipo madhara yoyote kwa binadamu kama China yenyewe ilivyosema.Naona USA kabaki hoi.Chanzo cha habari kwa mashirika yote ya habari ni kutoka China kwenyewe.
Thibitisha.Mkuu Marekani alikuwa anaamini kuwa kitaleta madhara.
Mkuu hao jamaa ni full janja janja.Tatizo kubwa la Mayankee upenda penda sana waonekana ni relevant - mara ooh tutalipua roketi booster ya wachina juu kwa juu kabla haija dondoka Duniani, nani kawapa mamlaka NASA/USAF kulipuwa roketi za watu kama sio uwenda wazimu - Waundaji/wana sayansi wa roketi wa Uchina walisema tangu booster ilipopata patwa na tasiso la kuongozwa kwamba ikiingia kwenye atmosphere asilimia kubwa ya booster itauungua, vitabaki vipande vidogo ambavyo vita anguka kwenye bahari, na hilo ndilo limekuja kutokea - sasa hawa jamaa wa NASA waliokuwa wana danganya Dunia kwamba wanafatilia booster 24X7 hawajui hata kitu gani kilitokea mpaka sasa wako kimya kabisa - usanii mwanzo mwisho.
Not any more mkuu, Dunia imekwisha washtukia.Mkuu hao jamaa ni full janja janja.
Thibitisha.Mkuu Marekani alikuwa anaamini kuwa kitaleta madhara.
Kaiaminisha nini na wapi? Kwa kukusaidia, soma hapaKabaki hoi ndio. Maana alichokuwa anaiaminisha dunia kimekuwa tofauti na uhalisia
Acha maigizo wewe. Ninachokisema nakimaanisha.Thibitisha.
Kaiaminisha nini na wapi? Kwa kukusaidia, soma hapa
A huge Chinese rocket booster is falling from space, but don't worry. It likely won't hit you.
You have almost nothing to worry about, a debris expert says.www.google.com