Chocolateeeee??????
vitu vngne ujinga tu!! Na hali yenyewe hiyo? Mmmmmh! Huyo mwanamke naye ni noumaa! Sa si litakuwa bush...a a a! Ha ha ha!
Yaani wewe unabahati sana, mzigo ndo unaingia saivi...niambie unataka za wiki au kidogo tu maana zipo kibao
Kisa umeamliwa na mpenzi asiyekuamini... bila kujali bughudha ya manywele hayo..... wakati yeye yuko huruuu. Wapenzi kama hawa piga chini
Za mwezi kabisa
haufi bana!! Eti wanasema service road inapunguza jam we huoni unapumua huko? Mweeeh!
Kwanza za siku ile ulikula?
Eeeeh nilikula zote tena nilitumia kama dk 15 nikazimaliza
Sasa kila anayetaka kwenda kudigidigi akisema humu ndani patatosha? Mambo mengine utoto huo.
Nlikua natafta post yako toka nirudi JF two days ago... Nadhani nimekumiss sana!Duh tunakoeleka sasa ni balaa.........
not mpingo??
Nashukuru kwa kuitwa Napita maana Napita vingi sana!!!