kituadumu
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 509
- 82
huyu jamaa anaandamwa na mikosi sana,bora atulie ajitathimini kwanza
Mikosi gani ndg?fafanua kidogo
huyu jamaa anaandamwa na mikosi sana,bora atulie ajitathimini kwanza
je huyu masha katika wakati wake aliwatendea haki wapinzani?
Hata Mandela alifungwa jela,
Ukombozi siyo lelemama.
Pole sana L. Masha. (Your handsome);
Hata Hayati Nelson Mandela alisubutu kukaa jela miaka 25 na akaja kuwa Raisi wa Afrika Kusini - CC kwa wengine hii!Ukiwa chadema lazima uonje jela kwanza, hiyo ndio moja ya vigezo vya kupata uongozi chadema
Hatimaye Lawrence Masha amechiwa kutoka mahabusu baada ya jana kuwa amekosa dhamana pale mahakama ya Kisutu, hali iliyopelekea yeye na wenzake kurudishwa rumande.
Lakini mchana huu (wa tarehe 26-08-2015) hatimaye ameweza kutolewa nje kwa dhamana na kusubiria mashtaka yake.
View attachment 280616
![]()
![]()
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani nchini, Lawrence Masha (45) baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.
Pongezi kubwa kwa kamanda advocate Msando na Kibatala kwa kufanikisha zoezi.
Amepata fundisho kuwa huwezi kuwa juu ya sheria.
Kajinyonge basiNa bado mgombea urais wa ukawa kulala segerea mpaka mkome kudanya watanzania. juzi juzi tu mlikuwa mtuaminisha Lowassa fisadi, ghafla si fisadi ni mtu safi. pambaaaf...