Hatimaye Lawrence Masha apata dhamana

Hatimaye Lawrence Masha apata dhamana

Sijui washauri wa magamba hua wakoje, naanza kuhisi washauri pamoja na vyombo ya dola vimeamua kuizika ccm rasmi; kwenye ulimwengu wa siasa popote duniani, ukimfunga tu mpinzani tafiti zinaonesha unamuongezea umaarufu; graph ya Masha tayari ipo ju sababu hata waliokua hawamfaham wataanza kutafuta kujua sasa Masha ni mtu wa namna gani? Watu wakisha jua kama huyu ndio alikua mental wa Ridhiwani Kikwete na pia alikua mwajiri wa mtoto wa Karume halafu waje wa connect dots za Lowassa alivyofanyiwa na JK ndio chuki dhidi ya JK na ccm zitakapozidi. Kuna watu nawasikia mtaani kua watampa Lowassa kura kwasababu ya kumwonea tu Huruma tu. Washauri wa ccm hebu kuweni kama watu mlioenda shule, najiuliza tu, hivi hizo hotuba anazotoa mgombea wao mbona is like anatoka chama cha upinzani na sio ccm?
 
Hizo ni changamoto za kawaida tuu kwani ukitoka ccm lazima unakuwa adui .Masha ameshajifunza jambo hapo
 
Inatufundisha ukiwa madarakani tenda kufuata sheria, mheshimu kila mtu mkubwa kwa mdogo, hata kama wewe una nini!! Inaonyesha alipokuwa madarakani aliwanyanyasa sana askari. Maana kosa lake wangeweza tu kulimaliza wenyewe kama boss wao wa zamani.
 
Ukiwa chadema lazima uonje jela kwanza, hiyo ndio moja ya vigezo vya kupata uongozi chadema

Na ukiwa na tabia ya kuwaingiza selo wenzako ujiandae na wewe kuingia selo ifikapo kuanzia Okt 25. Malipo ni hapahapa duniani
 
Na bado mgombea urais wa ukawa kulala segerea mpaka mkome kudanya watanzania. juzi juzi tu mlikuwa mtuaminisha Lowassa fisadi, ghafla si fisadi ni mtu safi. pambaaaf...
Aliyeuza nyumba za serikali huyo Magufuli ajiandae kwenda huko segerea
 
Mnadhani watu wanavyojiita maKAMANDA kwani wanajipachika tu hayo maiina?
 
Sijui washauri wa magamba hua wakoje, naanza kuhisi washauri pamoja na vyombo ya dola vimeamua kuizika ccm rasmi; kwenye ulimwengu wa siasa popote duniani, ukimfunga tu mpinzani tafiti zinaonesha unamuongezea umaarufu; graph ya Masha tayari ipo ju sababu hata waliokua hawamfaham wataanza kutafuta kujua sasa Masha ni mtu wa namna gani? Watu wakisha jua kama huyu ndio alikua mental wa Ridhiwani Kikwete na pia alikua mwajiri wa mtoto wa Karume halafu waje wa connect dots za Lowassa alivyofanyiwa na JK ndio chuki dhidi ya JK na ccm zitakapozidi. Kuna watu nawasikia mtaani kua watampa Lowassa kura kwasababu ya kumwonea tu Huruma tu. Washauri wa ccm hebu kuweni kama watu mlioenda shule, najiuliza tu, hivi hizo hotuba anazotoa mgombea wao mbona is like anatoka chama cha upinzani na sio ccm?
Changanya na za kwako!
Siasa haina formula
 
Bora alienda atuwakilishe huko maana huko napo wapo wengi wanao onewa
Hii serikali hii lazima itoke
 
mulimtosa dhamani; mpo busy k/koo ,tandale , ilala

kwa kukosa 2 mil ; kampuni yake ya usafi walimsusia ; inaonyesha haishi vizuri na wafanyakazi wake.

Alishawaona malofa;

wamemchunia; lazima wafagie jiji kwa kasi na hali mpya

kuna uwezekano yule askari aliyetajwa kwenye shtaka uchwara la masha
ni mjomba wako...
 
Hivi chadema wamemchukua huyu jamaa wa kazi gani?sidhani kama ana madhara kwa chama tawala.
 
na bado mgombea urais wa ukawa kulala segerea mpaka mkome kudanya watanzania. Juzi juzi tu mlikuwa mtuaminisha lowassa fisadi, ghafla si fisadi ni mtu safi. Pambaaaf...

nadhani hawa ukawa ni wachonganishi walitaka kutuodlea jembe letu tu!
 
mulimtosa dhamani; mpo busy k/koo ,tandale , ilala

kwa kukosa 2 mil ; kampuni yake ya usafi walimsusia ; inaonyesha haishi vizuri na wafanyakazi wake.

Alishawaona malofa;

wamemchunia; lazima wafagie jiji kwa kasi na hali mpya
Hujielewi wewe hujui hakimu aikuwa anahakiki majina ya wadhamini hadi muda wa ahakama kwishali wamkomoe jana IGP Kikwete walicheka leo yako wapi
 
Hata Mandela alifungwa jela,
Ukombozi siyo lelemama.
Pole sana L. Masha. (Your handsome);

Huyu mkuu wetu Masha amekaribishwa rasmi UKAWA, Sasa ataelewa vema kuwa Wapinzania nchi hii hawana uhuru japo chama tawala inahubiri demokrasia kukua na mwenye nyumba kuzunguka duniani akiwambia Demokrasia imekua sana kumbe kasahau pillars of Democracy.
 
huyu jamaa anaandamwa na mikosi sana,bora atulie ajitathimini kwanza
 
Back
Top Bottom