Hata Mandela alifungwa jela,
Ukombozi siyo lelemama.
Pole sana L. Masha. (Your handsome);
Lowassa kakaaa madarakani.miaka 2.baadaya hapo.ufisadi uliisha.kama jibu ndio.nahamia sisimu sasa hiviNa bado mgombea urais wa ukawa kulala segerea mpaka mkome kudanya watanzania. juzi juzi tu mlikuwa mtuaminisha Lowassa fisadi, ghafla si fisadi ni mtu safi. pambaaaf...
Kwahiyo amevaa boxer siku 3
Mimi mwenyewe mate yanadondoka kwa huo utanashati wakempk masha handsome???
nina waswas mume wak alikuwa marehem lem ongala
Jamani mnatia aibu. Hiki kiswahili mmefundisha wapi!? KAHACHIWA
Jamani mnatia aibu. Hiki kiswahili mmefundisha wapi!? KAHACHIWA
leo jioni nimesikia ktk taharifa ya habari ya itv saa mbili uck kuwa masha kahachiwa kwa dhamana na apo apo nikasiki kuwa ukawa wamenyimwa uwanja wa jangwani tr.29 kwa ajili ya ufunguzi wa kampeni za uraisi hii ni bahada ya kuwanyima tena uwanja wa taifa kwa kweli nimesikitika sana na nimewaona wakumbavu sana hao wanao tumika na ccm juu ya kuwasumbua ukawa ni kwamba wakae wakijua kuwa ni wanawaongezea nguvu zaidi kwa asilimia 100 tena na pia watambue kuwa ccm ata wakiachwa wafanye kampeni ata mwz mzima awatakuwa na jipya wao na uyo mgombea wao na watambue kuwa wao ni wapinzani toka sasa
Kiswahili kibovu mno taharifa..bahada..kahachiwa
ni ulofa unasumbua watanzania
Jamani mnatia aibu. Hiki kiswahili mmefundisha wapi!? KAHACHIWA
Jamani mnatia aibu. Hiki kiswahili mmefundisha wapi!? KAHACHIWA