Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,772
Kwahiyo amevaa boxer siku 3
mtasomwa nyie
Hata Mandela alifungwa jela,
Ukombozi siyo lelemama.
Pole sana L. Masha. (Your handsome);
Mbona nilisikia kahamia ACT au nilisikia vibaya.
Hii ni namns ambayo inaweza kumpa mtu umaarufu na kusababisha kupata kura za sympath. Ni vyema vyomba vya dola na chama tawala vikawa makini katika kutekeleza maamuzi/maagizo hasahasa yanayowahusu wagombea.
Tunawaaminisha tena Magufuli fisadi, haya na muaminiNa bado mgombea urais wa ukawa kulala segerea mpaka mkome kudanya watanzania. juzi juzi tu mlikuwa mtuaminisha Lowassa fisadi, ghafla si fisadi ni mtu safi. pambaaaf...
Ukiwa chadema lazima uonje jela kwanza, hiyo ndio moja ya vigezo vya kupata uongozi chadema
Ahamie act kwani yeye ni muha?
Ukiona kiongozi wa Chadema hajaonja jera au police ujue ni mwenzao au msaliti Kama yule wa Kigoma
Hatimaye Lawrence Masha amechiwa kutoka mahabusu baada ya jana kuwa amekosa dhamana pale mahakama ya Kisutu, hali iliyopelekea yeye na wenzake kurudishwa rumande.
Lakini mchana huu (wa tarehe 26-08-2015) hatimaye ameweza kutolewa nje kwa dhamana na kusubiria mashtaka yake.
View attachment 280616
![]()
![]()
Hivi chadema wamemchukua huyu jamaa wa kazi gani?sidhani kama ana madhara kwa chama tawala.
. A very wise words toka kwa Mzee aliyekua na hekima na uelewa wa hali ya juu,wazee wa namna hii wamebaki wachache sana kwa sasa,Mwandosya Mark ni mmoja wao!Mwl nyerere alishawahi kusema maneno haya"uongozi kwa njia ya vitisho ni uongozi Wa kudumu kwa mida mfupi tu,mtu anapohoji juu ya maamuzi ya kijinga katika taasisi ya uma anatumia hali yake ya msingi kama raia,na viongozi wanatakiwa kuwaelimisha juu ya maamuzi hayo,hivyo kuwafunga na kuwatisha watu wanapodai haki zao siyo suluhisho la matatzo