Kesi ya Halima Mdee na wenzake 18 kusikilizwa kwa miaka 3 wakati wahusika wote wapo Dar. Je, tutamaliza mrundikano wa kesi?

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
May 28, 2023
930
1,299
Hakika ni migumu kuamini kuwa MAHAKAMA zetu zinasikiliza na kuamua KESI kwa wakati.Mfano mzuri ni hii KESI ya HALIMA MDEE na Wenzake 18.KESI hii ina Miaka 3 toka imeanza kusikilizwa.KESI hii WAHUSIKA wote ambao ni Wafuatao

  • Majaji wapo DAR
  • Mawakili wapo
  • Dar
  • Halima na Wenzake wapo Dar
  • CHADEMA wapo Dar

Hakuna mhusika yoyote wa hii kesi anayetoka nje ya nchi

Najiuliza kwa speed hii ya uendeshaji kesi unaofanywa na mahakama zetu je tutamaliza mrundikano wa kesi zilizopo?

Ushauri kwa mahakama juu ya uendeshaji wa kesi za aina hii zisikilizwe mfululizo kwani ni kesi zenye mvuto kwa wananchi kusikilizwa kwa miaka 3 kunaleta mashaka kwa wananchi juu ya mahakama.

Tuwaige majirani zetu wa kenya mfano wa ile kesi yenye mvuto kwa wananchi kesi ya kupinga urais ilivyosikilizwa kwa muda mfupi na hukumu kutolewa.

1652427482224.jpg
 
Sio kwenye siasa tu hata kesi za uhujumu uchumi, mauaji, sijui uchochezi unakuta mtu kesi ya 2015 mpaka Leo Bado tu inaendelea bila proceedings zozote za maana.

Kabudi alipokua waziri nilidhani ange solve Hili ila naye licha ya uprofessor hakufanikisha lolote.

Kwa staili hii tusishangae DP world tukawauzia na mahakama Ili watusaidie kuziendesha maana hazina ufanisi kabisa.
 
Hakika ni migumu kuamini kuwa MAHAKAMA zetu zinasikiliza na kuamua KESI kwa wakati.Mfano mzuri ni hii KESI ya HALIMA MDEE na Wenzake 18.KESI hii ina Miaka 3 toka imeanza kusikilizwa.KESI hii WAHUSIKA wote ambao ni Wafuatao

  • Majaji wapo DAR
  • Mawakili wapo
  • Dar
  • Halima na Wenzake wapo Dar
  • CHADEMA wapo Dar

Hakuna mhusika yoyote wa hii kesi anayetoka nje ya nchi

Najiuliza kwa speed hii ya uendeshaji kesi unaofanywa na mahakama zetu je tutamaliza mrundikano wa kesi zilizopo?

Ushauri kwa mahakama juu ya uendeshaji wa kesi za aina hii zisikilizwe mfululizo kwani ni kesi zenye mvuto kwa wananchi kusikilizwa kwa miaka 3 kunaleta mashaka kwa wananchi juu ya mahakama.

Tuwaige majirani zetu wa kenya mfano wa ile kesi yenye mvuto kwa wananchi kesi ya kupinga urais ilivyosikilizwa kwa muda mfupi na hukumu kutolewa.

Hii ni kesi ya kimkakati. Wakiondolewa hao covid nchi itakosa misaada.
 
Hakika ni migumu kuamini kuwa MAHAKAMA zetu zinasikiliza na kuamua KESI kwa wakati.Mfano mzuri ni hii KESI ya HALIMA MDEE na Wenzake 18.KESI hii ina Miaka 3 toka imeanza kusikilizwa.KESI hii WAHUSIKA wote ambao ni Wafuatao

  • Majaji wapo DAR
  • Mawakili wapo
  • Dar
  • Halima na Wenzake wapo Dar
  • CHADEMA wapo Dar

Hakuna mhusika yoyote wa hii kesi anayetoka nje ya nchi

Najiuliza kwa speed hii ya uendeshaji kesi unaofanywa na mahakama zetu je tutamaliza mrundikano wa kesi zilizopo?

Ushauri kwa mahakama juu ya uendeshaji wa kesi za aina hii zisikilizwe mfululizo kwani ni kesi zenye mvuto kwa wananchi kusikilizwa kwa miaka 3 kunaleta mashaka kwa wananchi juu ya mahakama.

Tuwaige majirani zetu wa kenya mfano wa ile kesi yenye mvuto kwa wananchi kesi ya kupinga urais ilivyosikilizwa kwa muda mfupi na hukumu kutolewa.

Hii kesi ni kati ya CCM na CHADEMA hivyo ndiyo maana hata majaji wanafanya usanii, wao wenyewe wanasubiri maelekezo
 
Back
Top Bottom