Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 64
Na kupotea ama kufa kwa ballali nani alisababisha?
Mnasema serikali itachukia nikisema watu wamechoshwa na usanii..Haya kwanini wasichukie wewe kupata ripoti kabla ya mkuu wa nchi?
Kwanini wasichukie kwasababu mmevujisha siri nyingi tu serikali?
Acha twist ukafikiri sisi ni shallow minded!
Mshindwe!
Haya tuendelee na Mjadala maana hamtaki nichangie KABISA!
Uliniuliza maswali yako nikayajibu vizuri sana kwa makubaliano kuwa nawe utajibu yangu.
Jibu swali langu, ni rahisi tu.
Nia yako ya kuitisha watu kwenda msituni na kumwaga damu tanzania ni ipi?