Kama MWK anajidai anaiogopa serikali...Then na sisi wananchi tuanze uchunguzi kuwa ripoti ya madini aliipata vipi yeye na SINCLAIR?
ukiandika kitu kisome kwanza kabla ya kupost, kievaluate. Akili kichwani kwa nasikia kuna wenyewe humu ndani. The best way don't respond to whatsoever you think will bring to into trouble. Ulishaonywa, next time you do the same mistake you will be punished responsibly + appropriately.