Hatimaye Chadema yateka vijiji

Hatimaye Chadema yateka vijiji

Tunawaombea kila aina ya dua njema wana mabadiliko wote ktk kufikia azima ya kuliondoa jini ccm
View attachment 997653

Hiki ni kijiji cha Kamsamba , Jimbo la Momba mkoani Songwe , Pichani wanaonekana viongozi wa Chadema John Mrema na Katibu wa Kanda Nene ya Nyasa Emmanuel Masonga wakipiga Selfie kwenye nyumba ya mkulima

Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "

In God we Trust
 
Back
Top Bottom