Hatimaye Chadema yateka vijiji

Hatimaye Chadema yateka vijiji

Watanzania tupo CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
hata mimi nawaona
IMG-20180807-WA0010.jpg

IMG-20180807-WA0009.jpg
 
Huyo mwenye nyumba ya majani asahau kabisa kuwa na nyumba ya bati endapo CHADEMA ikishinda kwani Chama hakina akili ya kujenga Ofisi yao sasa wataweka mazingira gani ya mtu kujenga nyumba yake? Wataanza kujenga Ofisi zao Nchi nzima na kufumba na kufumbua miaka 5 inaisha hawajafanya chochote.
CCM haijawahi jenga ofisi hata moja zaidi ya kupora
 
Huyo mwenye nyumba ya majani asahau kabisa kuwa na nyumba ya bati endapo CHADEMA ikishinda kwani Chama hakina akili ya kujenga Ofisi yao sasa wataweka mazingira gani ya mtu kujenga nyumba yake? Wataanza kujenga Ofisi zao Nchi nzima na kufumba na kufumbua miaka 5 inaisha hawajafanya chochote.
CCM haijawahi jenga ofisi hata moja zaidi ya kupora
 
Back
Top Bottom