Hatimaye Chadema yateka vijiji

Hatimaye Chadema yateka vijiji

Elimu bure kutoka ccm
Umeona ehh
Haki ya Mwenye Enzi Mungu!
Hiki chama ni drama tupu walahi View attachment 997670
FB_IMG_1547797098473.jpeg


In God we Trust
 
Tunavyokwenda sasa ni jino kwa jino tu maana ukiwa mpole sana unaitwa mjinga
Unajua nitasema nini.
Haya kama hizo ndio juhudi, tunaweza sema "KAZI IMEANZA", na sio 'IMEKWISHA'!!

TAHADHARI: unahakika na usalama wao huko vijijini kwa kuwaonyesha bayana hivi? Mengine yanafaa kufanywa ki'gurrilar' hivi kwenye maeneo kama hayo, na siyo kujitangaza bayana kungali alfajiri hivi!
Hivi mtajifunza lini Erythro, na huku mkijua adui asivyokuwa na simile na uvumilivu!

In God we Trust
 
Yaliyopita siyo ndwele sasa tunatazama mbele na daima mwanajeshi haogopi maiti vitani
Kwa jinsi Magu alivyo li "terolise" taifa" upinzani msitarajie kitu. Mtapigwa wazi wazi na kunyang'anywa haki na halali zenu nyingi pasipo msaada. Rejea chaguzi ndogo zilizo pita.

In God we Trust
 
Hiyo T-shirt Kali sana, wapeni wamachinga watutembezee na mpunguze bei,si chama kina ruzuku? Uzeni hata kwa ten ten.ambayo ni affordable.
Zimechorwa mapanga kwa kutumia damu ya R.I.P. Akwilina, Mbowe bora azeeke huko aliko!
 
Selfie za siku hizi matata kweli!
BTW Aluta Continua!
 
Huyo mwenye nyumba ya majani asahau kabisa kuwa na nyumba ya bati endapo CHADEMA ikishinda kwani Chama hakina akili ya kujenga Ofisi yao sasa wataweka mazingira gani ya mtu kujenga nyumba yake? Wataanza kujenga Ofisi zao Nchi nzima na kufumba na kufumbua miaka 5 inaisha hawajafanya chochote.
Inawezekana hata hii shule ilijengwa wakati wa utawala wa chadema
FB_IMG_1547797098473.jpeg


In God we Trust
 
Unadhania cdm ni sawa na ccm mlio kimilikisha chama kwa malaika?
Hakuna lolote mlichonacho, Chadema ni chama kinachoendesha na mtu mmoja tuu, naye ndio battery ya chama, sasa tokea Battery ipelekwe segerea naona Chadema aipigi start na haiwezi kwenda popote.

Hata zile spikers kubwa hazitowi sauti tena, hakuna charge ama moto.

Wandugu sii mumpelekee cheki book yake amisainie matumizi.

Hatuwasiki wale viroba humu, hatuwasikii tena akina Lema, Msigwa, Mnyika, Sugu, nk............

Chadema imeja wachumia tumbo

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Back
Top Bottom