Awuot
JF-Expert Member
- Nov 10, 2018
- 1,172
- 1,406
Haijakatazwa popote ila niliona watu wakila kichapo sehemu kisa kuvaa t-shirt za Chadema achilia mbali zile za Lisu.Imekatazwa lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haijakatazwa popote ila niliona watu wakila kichapo sehemu kisa kuvaa t-shirt za Chadema achilia mbali zile za Lisu.Imekatazwa lini?
Mbona ccm haijamjengea nyumba ya bati halafu unavimba kichwa kwamba asahau kujenga nyumba ya bati? Umaskini wa watz ulisababishwa na Chadema au ccm! Kama kabisaHuyo mwenye nyumba ya majani asahau kabisa kuwa na nyumba ya bati endapo CHADEMA ikishinda kwani Chama hakina akili ya kujenga Ofisi yao sasa wataweka mazingira gani ya mtu kujenga nyumba yake? Wataanza kujenga Ofisi zao Nchi nzima na kufumba na kufumbua miaka 5 inaisha hawajafanya chochote.
Inawezekana hata hii shule ilijengwa wakati wa utawala wa chademaView attachment 997962
In God we Trust
Kimsingi kuweka rangi au kutoweka hakuna maana sana, lakini picha inayoonekana inaamsha furaha na matumaini kwa watu ambao tumenyanyaswa na kubezwa kila kuchao. Wakati kuna watu wanaondoka kwa sababu za maslahi ya leo na keshokwa kwa visingizio kuwa wanaondoka kwa sababu ya ugomvi wao na Mbowe au kamati kuu, wajue kuna watu wanasalitiwa. Mwenye nyumba hii ni miongoni mwao.
Kazi wanayofanya chadema kwa sasa kweli kazi imekwisha juzi nimekutana na mzee mmoja aged 66+ askari mstaafu akizunguka nyumba kwa nyumba nahisi ilikuwa kazi maalumu. Jiwe akijua hili sijui atawakaje.View attachment 997653
Hiki ni kijiji cha Kamsamba , Jimbo la Momba mkoani Songwe , Pichani wanaonekana viongozi wa Chadema John Mrema na Katibu wa Kanda Nene ya Nyasa Emmanuel Masonga wakipiga Selfie kwenye nyumba ya mkulima
Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "
Unataka aendelee kuichagua ccm wakati ndio imemfikisha hapo alipo baada ya miaka zaidi ya 55 ya Uhuru!Huyo mwenye nyumba ya majani asahau kabisa kuwa na nyumba ya bati endapo CHADEMA ikishinda kwani Chama hakina akili ya kujenga Ofisi yao sasa wataweka mazingira gani ya mtu kujenga nyumba yake? Wataanza kujenga Ofisi zao Nchi nzima na kufumba na kufumbua miaka 5 inaisha hawajafanya chochote.
Hakuna Mtz mwenye akili timamu ataendelea kuikumbatia ccm. Labda wale wachumia tumbo wa hapo Lumumba
Acheni kujidanganya mitandaoni, ukweli ni kwamba wananchi wametishwa sana maeneo ya vijijini na kata zilizoko pembezoni, na hili la makusanyo ya halmashauri kurudishwa serikali kuu ni mwiba mkali kwa CDMView attachment 997653
Hiki ni kijiji cha Kamsamba , Jimbo la Momba mkoani Songwe , Pichani wanaonekana viongozi wa Chadema John Mrema na Katibu wa Kanda Nene ya Nyasa Emmanuel Masonga wakipiga Selfie kwenye nyumba ya mkulima
Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "
we injinia soma ramani wacha ujinga ngapi hiyoChadema finished
Mkuu hata mimi nimeipenda iko vizuri.Hiyo T-shirt Kali sana, wapeni wamachinga watutembezee na mpunguze bei,si chama kina ruzuku? Uzeni hata kwa ten ten.ambayo ni affordable.
Baada ya siku mbili unaibuka ukidai mmezuiliwa kufanya siasaView attachment 997653
Hiki ni kijiji cha Kamsamba , Jimbo la Momba mkoani Songwe , Pichani wanaonekana viongozi wa Chadema John Mrema na Katibu wa Kanda Nene ya Nyasa Emmanuel Masonga wakipiga Selfie kwenye nyumba ya mkulima
Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "
Neema zote zitaanikwa na uchafu wote utaanikwa
Nyumba kwa Nyumba Mlango kwa mlango kimya kimya tunamkimbiza mwizi wetu wa 1.5 tr