Hatimaye Chadema yateka vijiji

Hatimaye Chadema yateka vijiji

Hongereni kuteka Kijiji ambacho hakina hata picha ya mwanakijiji mmoja.Hongereni kwa Photoshop ya Kijiji hewa.Ruzuku mumeshaibomoa tayari kwa picha hewa isiyo Na mwanakijiji hata mmoja ku justify wizi wa ruzuku kutwa mlikuwa kijijini Nyasa!!! Aisee chadema wezi
Mjomba punguza jazba. Huu ni mwanzo tu wa kuelekea 2020.
 
View attachment 997653

Hiki ni kijiji cha Kamsamba , Jimbo la Momba mkoani Songwe , Pichani wanaonekana viongozi wa Chadema John Mrema na Katibu wa Kanda Nene ya Nyasa Emmanuel Masonga wakipiga Selfie kwenye nyumba ya mkulima

Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "
Mrema!

Tells the story.
 
Umekosa uteuzi na utaendelea kupiga debe kwa magufuli na haupati cheo chochote.
Ujinga ni utumwa wa elimu.
Huyo mwenye nyumba ya majani asahau kabisa kuwa na nyumba ya bati endapo CHADEMA ikishinda kwani Chama hakina akili ya kujenga Ofisi yao sasa wataweka mazingira gani ya mtu kujenga nyumba yake? Wataanza kujenga Ofisi zao Nchi nzima na kufumba na kufumbua miaka 5 inaisha hawajafanya chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom