Hatimaye Chadema yateka vijiji

Hatimaye Chadema yateka vijiji

View attachment 997653

Hiki ni kijiji cha Kamsamba , Jimbo la Momba mkoani Songwe , Pichani wanaonekana viongozi wa Chadema John Mrema na Katibu wa Kanda Nene ya Nyasa Emmanuel Masonga wakipiga Selfie kwenye nyumba ya mkulima

Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "
Hakuna lolote mlichonacho, Chadema ni chama kinachoendesha na mtu mmoja tuu, naye ndio battery ya chama, sasa tokea Battery ipelekwe segerea naona Chadema aipigi start na haiwezi kwenda popote.

Hata zile spikers kubwa hazitowi sauti tena, hakuna charge ama moto.

Wandugu sii mumpelekee cheki book yake amisainie matumizi.

Hatuwasiki wale viroba humu, hatuwasikii tena akina Lema, Msigwa, Mnyika, Sugu, nk............

Chadema imeja wachumia tumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2020 utakua mwaka mzuri sana kuishi Tanzania. Tutaona na kusikia mengi.

I can't wait.
Tutaona mengi ila tatizo upinzani umewekeza kwenye kuongea zaidi badala ya kujiimarisha kwenye kutafuta wanachama mijini na vijijini, pia kuwekeza kwenye ilani zao ili wananchi tujue vizuri kama tukiwapa nchi watafanya nini cha ziada tofauti na hii serikali iliyopo madarakani.

Ukimuuliza mwananchi kuhusu upinzani anatakiwa awe na kitu cha kuongelea, mwazo ilikuwa hoja ya "ufisadi", sasa inatakiwa iwekwe mezani hoja za msingi ambazo sitavutia wapiga kura, ikifika wakati wa uchaguzi unapambana ukiwa na matumaini.
 
Kwa jinsi Magu alivyo li "terolise" taifa" upinzani msitarajie kitu. Mtapigwa wazi wazi na kunyang'anywa haki na halali zenu nyingi pasipo msaada. Rejea chaguzi ndogo zilizo pita.
Uzuri atakua anaowapiga sio mbuzi au punda ni watu.
 
Unajua nitasema nini.
Haya kama hizo ndio juhudi, tunaweza sema "KAZI IMEANZA", na sio 'IMEKWISHA'!!

TAHADHARI: unahakika na usalama wao huko vijijini kwa kuwaonyesha bayana hivi? Mengine yanafaa kufanywa ki'gurrilar' hivi kwenye maeneo kama hayo, na siyo kujitangaza bayana kungali alfajiri hivi!
Hivi mtajifunza lini Erythro, na huku mkijua adui asivyokuwa na simile na uvumilivu!
uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita Chadema ilishinda uenyekiti kwenye kijiji anachoishi Magufuli huko Chato , pembe la ng'ombe halifichiki , Sina Hakika ka Mkuu Kalam 1 unatembea vijiji vya Tanzania , mimi kijiji changu kinaitwa Kajunjumele kiko wilaya ya Kyela , ni kijijini hasa ! ccm tuliuwa kitambo kabisa kule .
 
Wananchi tupo na Chadema
Hongereni kuteka Kijiji ambacho hakina hata picha ya mwanakijiji mmoja.Hongereni kwa Photoshop ya Kijiji hewa.Ruzuku mumeshaibomoa tayari kwa picha hewa isiyo Na mwanakijiji hata mmoja ku justify wizi wa ruzuku kutwa mlikuwa kijijini Nyasa!!! Aisee chadema wezi
 
View attachment 997653

Hiki ni kijiji cha Kamsamba , Jimbo la Momba mkoani Songwe , Pichani wanaonekana viongozi wa Chadema John Mrema na Katibu wa Kanda Nene ya Nyasa Emmanuel Masonga wakipiga Selfie kwenye nyumba ya mkulima

Nachukua nafasi hii kuwamegea siri makamanda wote na wadau wa demokrasia kwamba " KAZI IMEKWISHA "
Kweli Magufuli kiboko...John Mrema amejikondea kweli safari hii maana ruzuku sasa hailiwi ovyo ovyo kama siku za nyuma
 
Kazi imekwisha lakini katika Kata zaidi ya 130 nchini zilizofanya Uchaguzi mdogo tangu 2016, mmeambulia Kata chini ya Tano, kweli?
Kwa akili ya msiba unaweza kujivunia chaguzi za mauaji ? unatakiwa uwe maiti kichwani kwa kupofushwa , nakuonya mara ya mwisho usije ukaja kutulilia , " AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU "
 
Hakuna lolote mlichonacho, Chadema ni chama kinachoendesha na mtu mmoja tuu, naye ndio battery ya chama, sasa tokea Battery ipelekwe segerea naona Chadema aipigi start na haiwezi kwenda popote.

Hata zile spikers kubwa hazitowi sauti tena, hakuna charge ama moto.

Wandugu sii mumpelekee cheki book yake amisainie matumizi.

Hatuwasiki wale viroba humu, hatuwasikii tena akina Lema, Msigwa, Mnyika, Sugu, nk............

Chadema imeja wachumia tumbo

Sent using Jamii Forums mobile app
unajichanganya sasa , kama hela hakuna wachumia tumbo wanatoka wapi ?
 
Back
Top Bottom