Nyunyu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2009
- 4,354
- 1,010
Sidhani kama hiko ni kigezo cha kuwakataa wanachama kwani ninavyojua mimi muda wa kujiandikisha bado upo, so wangejiandikisha hata baada ya kuwa wanachama.
Labda kama kuna sababu nyingine ya msingi.
Mkuu, labda wanaogopa yasije kuwakuta yaliyomkuta Mrema 1995. Unakumbuka alikuwa anabebwa na watu lukuki ambao hawakuwa wapiga kura!!!
Nawashauri wawe wazi na criteria za scunity ya wanachama ili kuchuja chenga na mchele!!