Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 864
Sasa hapa imeteteshaje nchi?
Watangazaji wanawake wa TBC naweza kusema ni bogus. Jana ama juzi I just happened kusikiliza kipindi sijui ndio kinaitwa 'Mambo Bado' huyo mdada mtangazaji akawa ana-argue kuhusu vyandarua vya hati punguzo vinavyouzwa madukani kwa bei kubwa. Akadai kwamba wapo baadhi ya watu wanalalamikia bei ya vyandarua hivyo madukani bila kujua kwamba haviwahusu vinahusu wajawazito na watoto. She is forgetting that ni haki ya Mtanzania yoyote kutoa mawazo yake pale anapoona jambo haliendi sawa na hili la vyandarua likiwemo regardless mtu ana mimba au ana mtoto mchanga.
Haingii akilini kuambiwa kwamba kuna vyandarua vya hati-punguzo kwa akina mama wajawazito na watoto lakini vyandarua hivyo haviwafikii walengwa tangu wanapoanza kwenda clinic mpaka wanajifungua. Badala yake unavikuta vinauzwa holela madukani bila maelezo wala maelekezo yoyote vikiwa na nembo ya FREE NET by USAID! That bogus mtangazaji said something like 'Wazee mnaolalamikia vyandarua hivyo yanawahusu nini wakati nyie si wajawazito!?'
- Hamna cha CCJ wala nini upuuuzi tu!
Es!
Mara mnasema CCJ ina uhusiano na usalama wa taifa, mara mnasema vigogo 10 ndio wako behind CCJ na sasa mnasema CCJ inauhusiano na mataifa nje. This is way i think is undergoing CCJ is either a distraction of attention from the issues surrounding CCM Richmond, Twin towers etc or just a way of killing opposition in the next election. Sijaenda bado na mkumbo wenu. Na magazeti kwakuwa yanataka kuuzwa wanaandika kwa ushabiki
Mara mnasema CCJ ina uhusiano na usalama wa taifa, mara mnasema vigogo 10 ndio wako behind CCJ na sasa mnasema CCJ inauhusiano na mataifa nje. This is way i think is undergoing CCJ is either a distraction of attention from the issues surrounding CCM Richmond, Twin towers etc or just a way of killing opposition in the next election. Sijaenda bado na mkumbo wenu. Na magazeti kwakuwa yanataka kuuzwa wanaandika kwa ushabiki
It is still too early to tell whatCCJ is all about. It may well be our savoir, or may as well be our poison, there are many thing that we still do not know about this political animal. Tendwa satrted calling it a Hoax before CCJ made him look an idiot by putting it in the list of new parties.
Some of us are trying to rudicule this new animal, we may one day end up like Tendwa. So let us give this animal some time, and see how he walks before making any conclussion.
I buy your idea nimejifunza mengi tangu NCCR ya 1994 kwa nini watanzania tunakuwa wepesi kukubali jambo! jibu linakuja wengi wamechoshwa na utawala uliopo watanzania ni kama tupo jangwani tunapoona mtu yeyote tunadhani ni masihi inawezekana kweli akawa masihi lakini inawezekana pia likawa dudu mtu lililotumwa kuwaangamiza kumbuka wakati wa NCCR ya Mrema mambo yalikuwa hivi hivi watu kwa mamia tulikimbilia kadi tukidhani mkombozi katelemshwa lakini tusikate tamaa tuchukue kadi ila tuwapime kabla ya kuwapa kura zetu
Hivi ni chama gani kinaanzishwa na wanasiasa ambao sio wanasiasa??? Nani anajua historia ya hawa viongozi wa CCJ katika harakati zozote ziwe za kisiasa, kijamii au hata katika kutetea haki za group lolote katika jamii?? Kama hawajawahi kushiriki katika harakati zozote bas hawawezi kuwa wanasiasa nkwani watakua hawana wanachopigania. period.
Hivi ni chama gani kinaanzishwa na wanasiasa ambao sio wanasiasa??? Nani anajua historia ya hawa viongozi wa CCJ katika harakati zozote ziwe za kisiasa, kijamii au hata katika kutetea haki za group lolote katika jamii?? Kama hawajawahi kushiriki katika harakati zozote bas hawawezi kuwa wanasiasa nkwani watakua hawana wanachopigania. period.