Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,009
- 17,457
Vipi alikuwa anakupelekea moto sana? Alikuwa anacum ndani au nje? Kwanini hukubeba mimba au huzai?Na wao waache kuwala wafanyakazi kwa kujifanya wapo na power
Athubutu kutengeneza mazingira ya kunifukuzisha kazi nitamdhalilisha dunia nzima itajua nina evidence
Bro Kuna chemistry, unaweza mpenda mtu ila asikufae .
Sema haya mambo mda mwngn.... unaweza date na wadada wazuri wenye figure kali na wapo vzr kichwani ila ipo siku unatulizwa na mdada wa kawaida sana
kawaida wanaume tunatafuta mama bora kwaajili ya watoto wetu.... hatuangalii uzuri wa sura umbo au elimu ya darasani.....ππππ
Sema haya mambo mda mwngn.... unaweza date na wadada wazuri wenye figure kali na wapo vzr kichwani ila ipo siku unatulizwa na mdada wa kawaida sana
Uzur haya mambo hayajawahi kua na definition ya Moja Kwa mojaBro Kuna chemistry, unaweza mpenda mtu ila asikufae .
Akili zetu mda wa kuoa percentage purity inasoma 99.6%kawaida wanaume tunatafuta mama bora kwaajili ya watoto wetu.... hatuangalii uzuri wa sura umbo au elimu ya darasani.....
mwanamke mwenye akili ni mali kwa watoto wako
Ni kawaida mapenzi kwisha ndo maana hata ww na boss wako yaliisha, boss akarudi kwenye drawboad akapata mwenye viwango kukuzidiWait until miaka 5 ipite Ndio utajua hujui
Mapenzi huisha dear yanabaki mazoea unaanza Sasa kunengeneka kwenda kidimbwi kutafuta wengine
Ulijichezea we mwenyewe.kunipotezea muda wangu na kunichezea
We nae,bwana umtongoze mwenyewe Leo umtukane dada wa watu aliyetongozwa eti Malaya uko sawa huko kichwani kwako?Eti wife material
Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching
Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu
Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
Binti mmoja alianza kuropoka baada ya kuonja pombeHatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Huyu Fearless bado hajasema, mpaka aseme ππππ.We nae,bwana umtongoze mwenyewe Leo umtukane dada wa watu aliyetongozwa eti Malaya uko sawa huko kichwani kwako?
π€£π€£π€£Kwa kweli,ndio atajua Kwa Nini wanawake Huwa hututongozi,tunatongozwa.Huyu Fearless bado hajasema, mpaka aseme ππππ.
Dua la kuku halimkuti mwewe kamwe, ww ulikuwa nae ki maslahi tu, kwann u date boss wako? Karma from bitch is a big joke... jiandae kuendelea kuwa mchepuko wake tu, hiyo ndio kazi yakoHatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Amekugegeda kaichoka kahamua kuchukua chombo kingine na kufunga naye ndoa.Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Na haya ndio moja ya maajabu ya Mungu.Wabaya ndo tunaolewa cute
Stop being stupidHatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Kikubwa alishakubandua ushukuru Mungu kwa hilo tu. Ipo siku akimzoea mkewe mtapasha tena kiporo maana hakihitaji moto mkali. Ila kwa uchafu wa hilo kwapa hata mi ningekutosa tu